BBC vs DW kuhusu Bunge Maalum la Katiba (BMK)

BBC vs DW kuhusu Bunge Maalum la Katiba (BMK)

Hata maandamano yaliyofanywa na Chadema walisema hawajaandamana kabisa wakati siku hiyo kule Musoma waliandamana! BBC imeshakuwa TBC!!
 
Dotto Bulendu yuko fit sana! Sijui kwa nini bado yuko pale alipo!

Dotto Bulendu hata mimi namkubali kabisa.Huyu jamaa ni hazina kubwa sana ya Tasnia ya habari.Anakwazwa na chombo alichopo maana mmiliki wake ni Mwenyekiti wa Magamba mkoa wa Mwanza.
 
BBC ya mwisho iliondoka na Tido Hawa waliobaki ni makanjanja wanatafuna kodi ya waingereza tu.
 
Ma-CCM bhana kwa kuchakachua!!!! Hadi wameichakachua BBC !!!!!
 
Dotto Bulendu hata mimi namkubali kabisa.Huyu jamaa ni hazina kubwa sana ya Tasnia ya habari.Anakwazwa na chombo alichopo maana mmiliki wake ni Mwenyekiti wa Magamba mkoa wa Mwanza.

huwa sipendi kukikosa kipindi chake cha "jicho letu ndani ya habari" ingawa siku zingine hukaribisha watu wasio na uelewa wa mambo!
 
Wadau,
Tangu upigaji kura wa rasimu ya katiba kuanza, nimegundua kuna hivi vyombo viwili vya habari vya kimataifa (Radio) vimekua na misimamo tofauti. Huku DW ikituhabarisha kile kinachoendelea Dodoma kinagaubaga ikiwa ni pamoja na vitisho walivyopewa baadhi ya wajumbe waliopiga kura za Hapana, hali imekuwa tofauti kwa BBC ambao hawariporti kabisa kuhusu BMK! Je pengine BBC wametishwa kwa vile baadhi ya matangazo yao yamehamishiwa DSM? Source ni mimi mwenyewe ninayefuatilia matangazo yao kwa ukaribu!
mi mwenyewe nimejiuliza sana hili jambo
 
hivi mnajua hata Yule salma said aliyepiga kura ya hapana ni correspondent ama reporter wa dw?

Sikulijua hilo! Ila nilijiuliza wakati akihojiwa, jinsi anavyojibu maswali na maelezo anayotoa kiufasaha tofauti na wajumbe wengine "wana si hasa" ana weledi wa hali ya juu! Heko Salma!
 
Sikulijua hilo! Ila nilijiuliza wakati akihojiwa, jinsi anavyojibu maswali na maelezo anayotoa kiufasaha tofauti na wajumbe wengine "wana si hasa" ana weledi wa hali ya juu! Heko Salma!
haka kadada nimemwambia Pasco anipe mawasiliano yake lakini kimya
 
Last edited by a moderator:
From tomorrow onwards nitakua member mwaminifu wa DW
 
From tomorrow onwards nitakua member mwaminifu wa DW

Usisahau na VoA (voice of America) wako poa sana. Nawasikiliza saa hizi hapa wameripoti vizuri sana matukio ya leo BMK! Hongera DW na VoA.
 
Na mimi huwa nashangaa BBC ya leo, hakuna habari ya maana inayorushwa toka Tanzania! Kimekuwa ni chombo cha propaganda cha "wenye imani kali"- Fuatilieni kwa makini mtagundua ukweli.

umesema kweli kabsaaaa.
 
haka kadada nimemwambia Pasco anipe mawasiliano yake lakini kimya
Mkuu Chikutente, hicho kimya changu ndio kukusaidia kwenyewe!, kwanza mwenyewe ni member humu jf, kisha ana kaka zake humu jf, ni wakali kuliko pilipili, mmoja wao ni muuza utumbo, akipita tuu nyuma anafuatiwa na lundo la mainzi, yanazonga hayo!. Niulize mwenzio yaliishanikuta!, usiombee!.
Pasco
 
nimeshangaaa, ni aibu kabisa, BBC???????hawajaripoti kabisa ujinga wa ccm kule dodoma
 
How do I complain?
You can use our Contact Us page to
send us your complaint.
The information on how to contact us
by post is also provided on the page.
Please include the title, date and time
of the programme you wish to complain
about, and any additional information
that would help us identify the
programme like a link to a programme
web page.
 
Back
Top Bottom