chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Haya mkuu falsafa hii nimeielewa, ila kaka wapika utumbo wajue huwezi kuwa na wivu wa kimapenzi kwa dadaMkuu Chikutente, hicho kimya changu ndio kukusaidia kwenyewe!, kwanza mwenyewe ni member humu jf, kisha ana kaka zake humu jf, ni wakali kuliko pilipili, mmoja wao ni muuza utumbo, akipita tuu nyuma anafuatiwa na lundo la mainzi, yanazonga hayo!. Niulize mwenzio yaliishanikuta!, usiombee!.
Pasco

