chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Haya mkuu falsafa hii nimeielewa, ila kaka wapika utumbo wajue huwezi kuwa na wivu wa kimapenzi kwa dadaMkuu Chikutente, hicho kimya changu ndio kukusaidia kwenyewe!, kwanza mwenyewe ni member humu jf, kisha ana kaka zake humu jf, ni wakali kuliko pilipili, mmoja wao ni muuza utumbo, akipita tuu nyuma anafuatiwa na lundo la mainzi, yanazonga hayo!. Niulize mwenzio yaliishanikuta!, usiombee!.
Pasco
Pasco keshaweka kibanda, uki-insist utakua unatafuta ugomvi sasa!
Kweli kuwajaza akina, Kayanda, Baruan Muhuza, Regina Muziwanda imekua na sura ya kibongo hasa! Inapoteza mvuto!
Wadau,
Tangu upigaji kura wa rasimu ya katiba kuanza, nimegundua kuna hivi vyombo viwili vya habari vya kimataifa (Radio) vimekua na misimamo tofauti. Huku DW ikituhabarisha kile kinachoendelea Dodoma kinagaubaga ikiwa ni pamoja na vitisho walivyopewa baadhi ya wajumbe waliopiga kura za Hapana, hali imekuwa tofauti kwa BBC ambao hawariporti kabisa kuhusu BMK! Je pengine BBC wametishwa kwa vile baadhi ya matangazo yao yamehamishiwa DSM? Source ni mimi mwenyewe ninayefuatilia matangazo yao kwa ukaribu!
Nani anaweza kuitisha BBC , utatisha na nini
Niko Zanzibar na hii picha ni ya jana na kapiga yeye,haka kadada nimemwambia Pasco anipe mawasiliano yake lakini kimya
Niko Zanzibar na hii picha ni ya jana na kapiga yeye,
Salma Said Pascal Mayalla akiwa kwenye kwenye hafla ya ufungaji waZanzibar Diaspora
Like
bado unahitaji mawasiliano yake?
Paskali
Mkuu Gavana, diaspora ni kwa Watanzania wote waishio nje ya nchi wakiwemo wanafunzi. Kila nchi ina diaspora wake, hivyo hata Wanigeria wana diaspora wao, na Watanzania waishio Nigeria, wakiwemo Watanzania waliochukua uraia wa Nigeria ni diaspora wetu.KUMBE DIASPORA NI WANIGERIA, NA AKINA PASKALI WALIOALIKWA NA CCM , KAZI IPO ππππππ
Mkuu Gavana, diaspora ni kwa Watanzania wote waishio nje ya nchi wakiwemo wanafunzi. Kila nchi ina diaspora wake, hivyo hata Wanigeria wana diaspora wao, na Watanzania waishio Nigeria, wakiwemo Watanzania waliochukua uraia wa Nigeria ni diaspora wetu.
Mimi sikualikwa na CCM, sababu diaspora sio shughuli ya CCM.
Tufike mahali tutofautishe kati ya CCM na serikali hata kama serikali hiyo ni serikali ya CCM!.
Paskali
Kama tumewapa tumewapa uraia Al-Qaeda, Taliban na IS, why not Boko Haram?.DIASPORA ; WATANZANIA WALIOCHUKUWA URAIA WA NIGERIA TEHTEHTEGHHHHHH πππ BOKO HARAM ?????
KAZI MNAYO MAKADA WA CCM