BBC wachakachua uzi wa mwana JamiiForums

BBC wachakachua uzi wa mwana JamiiForums

Kwani issue ni mwanzilishi wa neno Bongo fleva au mwanzilishi wa muziki wa Bongo Fleva?.
Nikiwa RTD mwaka 1992 nimepiga wimbo wa ICE ICE Baby na OPP wa Saleh Jabir, wakaja kina Ramsey na kikundi Cha Kwanza Unit, cha kina Adili Kumbuka, hata Balozi Dola Soul, 2Proud, na Soggy Doggy walianza zamani, Radio One imeanzishwa 1994!.
P
Mimi bado nilikuwa nanyonyaga maziwa.
 
Kwani issue ni mwanzilishi wa neno Bongo fleva au mwanzilishi wa muziki wa Bongo Fleva?.
Nikiwa RTD mwaka 1992 nimepiga wimbo wa ICE ICE Baby na OPP wa Saleh Jabir, wakaja kina Ramsey na kikundi Cha Kwanza Unit, cha kina Adili Kumbuka, hata Balozi Dola Soul, 2Proud, na Soggy Doggy walianza zamani, Radio One imeanzishwa 1994!.
P
mkumbuke dully alikuja in the late alikuta hao wakongwe wapo kwenye game. Mi binafsi sijui aliyeanzisha neno BONGO FLAVOUR ila naona labda ilikuwa ni kuutofautisha muziki huo na ule wa kimarekani kwa kuwa midundo yake ilifanana na miondoko ya huko. Ndio kwanza ulikuwa muziki mpya kuimbwa tanzania na kupokewa vema huku muziki wa dansi na mingine ukiwekwa kando. Pia uliitwa muziki wa kizazi kipya
 
Hili la watu/taasisi kuruka na nyuzi/comments/misemo/maneno toka humu ni la kawaida sana. Ukiandika kitu/neno/sentensi/msamiati atasoma mtu na utakuja kuusikia kwa mtu mwingine akiandika au kuongea, tena utamsikia kigogo mzito akitumia msamiati uliouandika humu, huwa nashangaa sana kumbe watu wengi wanapitia nyuzi na komenti humu wanapata idea
 
mkumbuke dully alikuja in the late alikuta hao wakongwe wapo kwenye game. Mi binafsi sijui aliyeanzisha neno BONGO FLAVOUR ila naona labda ilikuwa ni kuutofautisha muziki huo na ule wa kimarekani kwa kuwa midundo yake ilifanana na miondoko ya huko. Ndio kwanza ulikuwa muziki mpya kuimbwa tanzania na kupokewa vema huku muziki wa dansi na mingine ukiwekwa kando. Pia uliitwa muziki wa kizazi kipya
Aliyeanzisha neno bongo flavor no Mike mhagama

Ova
 
Back
Top Bottom