Jambo la kwanza ungetafuta vigezo vilivyotumika na namna ya vilivyotumika kupima uwezo wa kijeshi!BBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.
Mbona kama wametupendelea!!! Tulitakiwa kuwa sawiya na Malawi au ChadBBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.
Wataalamu wanaangalia bajeti inayotengwa kwa ajili ya jeshi, vile vile vifaa ambavyo jeshi inavyo- Madege ya kivita, vifaru, manowari, na idadi ya wanajeshi wenyewe. Hapa hawatazami nidhamu.BBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.
aaaaaahhhaaaahhhhh, sio kijeshiNapinga tanzania haiwezi kushika namba nzuri hivyo huwa tunashika mkia kwenye mambo mengi
Hawa DRC ambao SADC yote imebidi ikawasaidie kudhibiti vikundi vya uasi ndo wanasemwa wana jeshi imara haya ni maajabu.
Ila jeshi letu kuwa nafasi hiyo sipingi.
hapa kwetu wameshajaribu zaidi ya mara 5 na wameshindwa.wasikiage waasi humu jamiiforums ila usiombe nchi yako ikaingiliwa na huo ugonjwa
Nyerere kuna kipindi sijui alikuwa anaweka bangi kidogo,nakumbuka kuna wakati aliropoka kuwa katiba ya Tz inampatia haki ya kuwa dikteta endapo akiamuaNyerere alishawahi sema kuwa jeshi letu ni the most politicized institution in Tanzania, tena walilifanya liwe hivyo kwa makusudi kabisa. Mpaka leo liko hivyo, halijabadilika.
Vitu kama hivi vinahitaji tupewe kwanza Criteria, what if wanapima uimara kwa idadi ya mashoga ndani ya jeshi? Sasa unataka uwe namba 1 kwa kigezo kama hicho? Tupewe kwanza vigezo ndio tuanze kubishana humuTafiti hupingwa kwa tafiti mkuu ingia na wewe chimbo uje na utafiti wako kuupinga wao
Tafuta mahali ule mchemsho nakulipia!!!Believe me, tunajifariji tunapojisifiaga kuwa jeshi letu ni miongoni mwa majeshi yenye nguvu Afrika. Jeshi letu lacks professionalism, liko kisiasa sana. Basi tu watu wengi hawajui kuhusu madudu ya hili jeshi.
Nyerere alishawahi sema kuwa jeshi letu ni the most politicized institution in Tanzania, tena walilifanya liwe hivyo kwa makusudi kabisa. Mpaka leo liko hivyo, halijabadilika.
We have a weak army. Anaebisha basi haijui vizuri JWTZ.
Wanatumwa kufagia siku ya matukio ya wapinzaniNakubaliana nao kwa 100% hapa kazi yao kupiga raia kwa sababu za kipumbavu utakuta mwanajeshi amedundwa na raia kwenye bar au klabu ya pombe za kienyeji kwa kugombea mwanamke anakimbilia kambini halafu wanatoka zaidi ya 10 kwenda kumchangia raia sasa si upuuzi huo.
hapa kwetu wameshajaribu zaidi ya mara 5 na wameshindwa.
Na bado wanasumbuliwa na vikundi vya wapiganaji ndani ya nchi yao...!Ugandan airforce wana sukhoi S30....ndege za kisasa mno za kirusi. Wakati sisi tumejikita na j7 za mchina
hii siyo ajabu ndugu yangu.kwani mbona tunaambiwa Tanzania ni kisiwa cha amani lakini ni jambo la kushangaza kwenye listi ya nchi 50 zenye amani dunianiTanzania haipo .Tuendelee kuishi kwa matumainiBBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.
Nipo Hapa Omurushaka Haa HaaBelieve me, tunajifariji tunapojisifiaga kuwa jeshi letu ni miongoni mwa majeshi yenye nguvu Afrika. Jeshi letu lacks professionalism, liko kisiasa sana. Basi tu watu wengi hawajui kuhusu madudu ya hili jeshi.
Nyerere alishawahi sema kuwa jeshi letu ni the most politicized institution in Tanzania, tena walilifanya liwe hivyo kwa makusudi kabisa. Mpaka leo liko hivyo, halijabadilika.
We have a weak army. Anaebisha basi haijui vizuri JWTZ.