BBC: Wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wauawa katka vita vya Ukraine

BBC: Wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wauawa katka vita vya Ukraine

Kwani hapo ushahidi umetolewa juu ya vifo vya hao wanajeshi wa korea kaskazini ?umeona hata jina la mmoja wa waliokufa likitajwa au hata picha zao?
Kwani baada ya madai ya vifo vya Wanajeshi ya Korea kaskazini umesikia wakikanusha wahusika ambao ni Rasia na North Korea au we ndo msemaji wao?
 
View attachment 3180182

Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.

Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.

Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.

Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.

Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.

Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.

Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.

Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.

Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
Wanajeshi 5000 wa NATO wameshauwa ndani ya miezi miwili
 
View attachment 3180182

Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.

Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.

Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.

Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.

Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.

Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.

Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.

Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.

Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
View attachment 3180182

Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.

Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.

Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.

Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.

Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.

Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.

Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.

Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.

Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
chai
 
View attachment 3180182

Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.

Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.

Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.

Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.

Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.

Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.

Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.

Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.

Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
Acha kusikiliza vyanzo vya CNN,waongo hao.
 
propaganda tu,
wameajuaje wanajeshi 100 wameuliwa ikiwa mpaka leo hatujaona picha ya wakorea huko kursh?

media na intel communities huwa ni walaghai sana, bahati mbaya kwenye vita ukweli huwa mwathirik namba 1!
Picha ziko nyingi tu ............watu wanaliwa na droni bila utata.........na hivi hata macho hawana basi wako kama vipofu tu..................yaani Korea kasikazini vitani ni kuku wa kisasa.........kule Ukraine hawapindi nondo wala kubeba matofali ..........kule droni shaaaaaaa cha matako
 
FAKE NEWS
View attachment 3180182

Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.

Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.

Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.

Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.

Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.

Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.

Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.

Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.

Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
BBC WAZEE WA PROPAGANDA 😂
 
Kwani baada ya madai ya vifo vya Wanajeshi ya Korea kaskazini umesikia wakikanusha wahusika ambao ni Rasia na North Korea au we ndo msemaji wao?
Toka lini Russia au North korea wakaangaika na uzushi? wao ndio wanatakiwa kuleta ushahidi sio Mrusi wala North Korea
 
Toka lini Russia au North korea wakaangaika na uzushi? wao ndio wanatakiwa kuleta ushahidi sio Mrusi wala North Korea
We ndo umejiweka msemaji wao,warusi daima wanakanusha mambo ya uongo,juzi TU hapa Trump aliposema warasia Laki 6 wamauwawa vitani mbona msemaji wao kaja mara Moja kujitetea,Sasa wewe kibalakashia unatoka wapi?
 
propaganda tu,
wameajuaje wanajeshi 100 wameuliwa ikiwa mpaka leo hatujaona picha ya wakorea huko kursh?

media na intel communities huwa ni walaghai sana, bahati mbaya kwenye vita ukweli huwa mwathirik namba 1!
Putin amewai kukuoneshea wale watz waliofa vitani ? mtu mweusi unaendeshwa na hisia kuliko akili , ukiitwa ny@n unakunja mdomo
 
Kiduku anafanya biashara ya kubadilisha dsmu za watu na mchele toka Urusi!!
 
Back
Top Bottom