AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
wapi nimeandika hayo maneno. mi nmekuuliza tu unaamini propaganda machine ya West?Tatizo lenu wabongo mkiona picha za silaha za Korea mnafikiri wapo vizuri kwenye vita, hawa jamaa bado Sana kwenye medani ya vita hasa ya ground
Kwani baada ya madai ya vifo vya Wanajeshi ya Korea kaskazini umesikia wakikanusha wahusika ambao ni Rasia na North Korea au we ndo msemaji wao?Kwani hapo ushahidi umetolewa juu ya vifo vya hao wanajeshi wa korea kaskazini ?umeona hata jina la mmoja wa waliokufa likitajwa au hata picha zao?
Taja idadi kama unayo..Kwamba mlijua wanajeshi hua wanaenda vitani kufanya Picnic sio?
Je wanajeshi wangapi wa NATO wameshauwawa
Wanajeshi 5000 wa NATO wameshauwa ndani ya miezi miwiliView attachment 3180182
Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.
Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.
Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.
Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.
Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.
Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.
Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.
Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.
Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
Ningekuambia kitu hapa ila utaishia kuniudhi kwa ubishi.Wanajeshi wa Korea hawana uzoefu na vita ndiyo maana walipewa matunzo Kwa muda wa miezi minne,tukumbuke kuwa hii ndiyo vita Yao ya kwanza kupigana
View attachment 3180182
Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.
Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.
Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.
Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.
Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.
Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.
Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.
Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.
Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
chaiView attachment 3180182
Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.
Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.
Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.
Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.
Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.
Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.
Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.
Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.
Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
Acha kusikiliza vyanzo vya CNN,waongo hao.View attachment 3180182
Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.
Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.
Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.
Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.
Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.
Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.
Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.
Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.
Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
Picha ziko nyingi tu ............watu wanaliwa na droni bila utata.........na hivi hata macho hawana basi wako kama vipofu tu..................yaani Korea kasikazini vitani ni kuku wa kisasa.........kule Ukraine hawapindi nondo wala kubeba matofali ..........kule droni shaaaaaaa cha matakopropaganda tu,
wameajuaje wanajeshi 100 wameuliwa ikiwa mpaka leo hatujaona picha ya wakorea huko kursh?
media na intel communities huwa ni walaghai sana, bahati mbaya kwenye vita ukweli huwa mwathirik namba 1!
BBC WAZEE WA PROPAGANDA πView attachment 3180182
Takriban wanajeshi 100 wa Korea Kaskazini wameuawa katika mapigano katika vita vya Ukraine tangu waingie kwenye mapigano upande wa Urusi mapema mwezi huu, mbunge wa Korea Kusini amesema.
Lee Sung-kwon, akizungumza na waandishi wa habari baada ya bunge kupewa taarifa na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya nchi hiyo, alisema wengine 1,000 wamejeruhiwa.
Alisema waliopoteza maisha ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu, na inaweza kuelezewa na wanajeshi hao kutofahamu eneo hilo, na vita vya ndege zisizo na rubani.
Ripoti za kwanza za majeruhi wa Korea Kaskazini zilikuja mapema wiki hii. Iliibuka mwezi Oktoba kwamba Kaskazini ilikuwa imetuma wanajeshi 10,000 kusaidia juhudi za vita vya Urusi.
Siku ya Jumatatu msemaji wa Pentagon ya Marekani alisema Wakorea Kaskazini waliuawa, bila kutaja idadi, na siku moja baadaye afisa wa Marekani ambaye hakutajwa jina alisema kuwa kulikuwa na "mia kadhaa" waliouawa au kujeruhiwa.
Wanajeshi wa Korea Kaskazini, ambao hakuna hata mmoja wao aliye na uzoefu, wanaaminika kuwa walitumia wiki zao za kwanza nchini Urusi katika mafunzo na kisha katika majukumu ya usaidizi.
Majeruhi hao wanadhaniwa kutokea katika eneo la Kursk nchini Urusi, ambako wanajeshi wa Ukraine wanalinda eneo dogo lililotekwa wakati wa uvamizi wa ghafla mwezi Agosti.
Jumamosi iliyopita, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema Urusi imeanza kutumia "idadi kubwa" ya Wakorea Kaskazini katika mashambulio yake huko Kursk.
Hawafikiriwi kuwa wametumwa nchini Ukraine kwenyewe, ambapo wanajeshi wa Urusi wamekuwa wakisonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo katika miezi ya hivi karibuni.
Toka lini Russia au North korea wakaangaika na uzushi? wao ndio wanatakiwa kuleta ushahidi sio Mrusi wala North KoreaKwani baada ya madai ya vifo vya Wanajeshi ya Korea kaskazini umesikia wakikanusha wahusika ambao ni Rasia na North Korea au we ndo msemaji wao?
We ndo umejiweka msemaji wao,warusi daima wanakanusha mambo ya uongo,juzi TU hapa Trump aliposema warasia Laki 6 wamauwawa vitani mbona msemaji wao kaja mara Moja kujitetea,Sasa wewe kibalakashia unatoka wapi?Toka lini Russia au North korea wakaangaika na uzushi? wao ndio wanatakiwa kuleta ushahidi sio Mrusi wala North Korea
Putin amewai kukuoneshea wale watz waliofa vitani ? mtu mweusi unaendeshwa na hisia kuliko akili , ukiitwa ny@n unakunja mdomopropaganda tu,
wameajuaje wanajeshi 100 wameuliwa ikiwa mpaka leo hatujaona picha ya wakorea huko kursh?
media na intel communities huwa ni walaghai sana, bahati mbaya kwenye vita ukweli huwa mwathirik namba 1!
Tusikilize vyanzo gani vya ukweli?!Acha kusikiliza vyanzo vya CNN,waongo hao.
Mrusi ametimuliwa Syria na huku Ukraine ameshikwa mbavu. ππMakobaz walimtegemea Mrusi kuwa mwokozi wao.