RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Lakini tuwaamini kina nani mkuu?.Ufaransa na UN huwa sio wa kuwaamini sana na huwa wanachukua sides kwa mfano Ufaransa ilituma maelfu ya majeshi ili kwenda kuzuia RPF advance huko Gitarama.
UN hali kadhalika ilikuwa ni watazamaji kwenye Genocide ya Rwanda na sote tunajua General Romeo Dallaire alikiri na unaweza kumsoma google to UNAMIR failure in Stopping Rwanda Genocide.
Kwahiyo hao sio wa kuamini.
Hahahaha,hapa kati Kuna michanganyo mingiMamlaka za Tanzania hazijielewi kabisa
Sababu, nia na uwezo wa kufanya hivyo tunazo.Halafu kuna kichaa mmoja anakuja JF anasema Tanzania wakati huu vita ikishika kasi tukae kimya, tusiwe na upande. Mpuuzi kabisa.
Kagame apigwe mara moja.
AFRICA UNION itume Fact finding mission watembelee Eastern DRC RWANDA UGANDA halafu waje na Report ndiyo tutakayo iamini.Lakini tuwaamini kina nani mkuu?.
Jeshi letu lipo mikononi mwa raia feki....wenyewe wanasema kifo cha mbantu ni sawa na kifo cha nyani tu.....nyele moja ya rostam azizi inathamani kuliko wanajeshi 1000 wa TanganyikaAwali kulikuwa na taarifa za mateka wa kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila .
Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouwawa na M23 ni kutoka Afrika kusini Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.
Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu,mme,mke na marafiki huko Congo, msifanye siri pls
USSR
View attachment 3221522a
Hayo yanakuwa hivyo kwa sababu ya ufisadi kuna watu wananufaika na huo ufisadi...unaofanya na serikali ya drc wao kwa wao ...kuna makampuni na madalali wa silahaIfike hatua ile vita ufanyike umafia mkubwa ndo itaisha hivi kutafuna unaacha wanajijenga tena, unatafuna unaacha litakuja kuwa sugu lisilotibika lisambae!
Ni kweli siku vita inaanza kuchachamaa waasi waliwatuliza Tanzania kuwaogopesha wasiingilie lakini wanafanya siriAwali kulikuwa na taarifa za mateka wa kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila .
Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouwawa na M23 ni kutoka Afrika kusini Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.
Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu,mme,mke na marafiki huko Congo, msifanye siri pls
USSR
View attachment 3221522a
Ni mmoja hao wawili ni wa malawi kitu kama hicho.Wawili au Mmoja
Mbona ni Hesabu Nyepesi tu
Ni kweli kwamba Wakongo ni watu wa bata, fashion, kujipodoa, kuchibua, legelege sana. Hata Rwanda wakiondoka nadhani mataifa mengine na vikundi vingine vitaendelea kuiba madini ya DRC kama huyu Nangaa anayeongoza M23.Hayo yanakuwa hivyo kwa sababu ya ufisadi kuna watu wananufaika na huo ufisadi...unaofanya na serikali ya drc wao kwa wao ...kuna makampuni na madalali wa silaha
we nchi gani makini umeona kapewa Wizara kubwa hivui mwanamke ambaye hata darubini hajui shika?Jana nilimuona kwenye habari Waziri wa ulinzi kwenye kampeni za upandaji miti Dodoma nikawaza kuna nini huyu Bibi system inamuibua kupitia media tuone kuwa yupo ofisini/kazini?
Ifike hatua ile vita ufanyike umafia mkubwa ndo itaisha hivi kutafuna unaacha wanajijenga tena, unatafuna unaacha litakuja kuwa sugu lisilotibika lisambae!
Wanajeshi wamepigwa na M23 wewe unaenda kuipga Rwanda, huo utakuwa wendawazimu.Halafu kuna kichaa mmoja anakuja JF anasema Tanzania wakati huu vita ikishika kasi tukae kimya, tusiwe na upande. Mpuuzi kabisa.
Kagame apigwe mara moja.
Wale wa Afrika kusini waliotangazwa sio wa shirikisho?Ukienda SADC Wewe ni askari wa Shirikisho
Awali kulikuwa na taarifa za mateka wa Kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila.
Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouawa na M23 ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.
Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu, mme, mke na marafiki huko Congo, msifanye siri tafadhali
USSR
View attachment 3221522a
mamluki wapo wa kutosha sana ni Nchi ya wanafiki wengiNi kweli kwamba Wakongo ni watu wa bata, fashion, kujipodoa, kuchibua, legelege sana. Hata Rwanda wakiondoka nadhani mataifa mengine na vikundi vingine vitaendelea kuiba madini ya DRC kama huyu Nangaa anayeongoza M23.
Wacongo hawana umoja, hawajali maslahi ya Taifa ni wabinafsi sana. Kila mtu anataka kuwa kama Mobutu, kutanua, ubinafsi, ufisadi, wizi wa mali za umma, dalali wa maliasili za DRC. Kama Tanzania tunapoelekea.
Lakini tuwaamini kina nani mkuu?.