ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Watu 700 ndani ya wiki sio mchezoNi kweli kabisa kwamba suala hili Lina mkanganyiko mkubwa sana kwa upande wa Tanzania.
Kwa sababu kwa taarifa zilizopo ni kwamba idadi ya Wanajeshi waliokufa kutokana na VIta hiyo ya huko Congo DR ni kubwa sana, kwa kipindi Cha wiki moja iliyopita idadi jumla ya Watu waliokufa inadaiwa kuwa ni zaidi ya Watu 1,000 (Raia na Wanajeshi). Wanajeshi Wapiganaji waliokufa ni zaidi ya mia Sita kutoka Vikosi vya Waasi na kutoka kwa Vikosi vya FARDS na Walinda Amani wa SADC+SAMIDRC Tanzania ikiwamo.
Nafikiri Serikali ya Tanzania unapaswa kutoa taarifa sahihi kwa umma ili kuondoa misinformation
Kumbe M23 sio wa mchezo mchezoKila nchi ina utaratibu wake kwenye masula ya ulinzi. Usilazimishe tufanane. Kwenye masuala ya ulinzi si sawa na masuala ya kijamii. Taarifa za jeshi si za kuzagaa kwenye mitandao. Kaa kwa kutuli kwani kukiwa na ulazima wa kuambiwa utaambiwa kama haupo tulia.
Wakati wa JK Jumla ya Askari walioripotiwa kufariki Kwa taarifa rasmi ya serikali ni 23 ,why Sasa hivi mfiche? Ngoja nitafute vyombo vya habari vya Malawi namione kama wametoa taarifaKila nchi ina utaratibu wake kwenye masula ya ulinzi. Usilazimishe tufanane. Kwenye masuala ya ulinzi si sawa na masuala ya kijamii. Taarifa za jeshi si za kuzagaa kwenye mitandao. Kaa kwa kutuli kwani kukiwa na ulazima wa kuambiwa utaambiwa kama haupo tulia.
Huenda ni mmoja alie kwenda na maji
Wakati unapanga kumpiga Kagame yeye anazidi kujichimbia na kujiimarisha kwenye taasisi zako nyeti.Halafu kuna kichaa mmoja anakuja JF anasema Tanzania wakati huu vita ikishika kasi tukae kimya, tusiwe na upande. Mpuuzi kabisa.
Kagame apigwe mara moja.
Lucas Mwashambwa alitaka kujiunga toleo la mwaka jana lakini Tumblr akamwambia asubiri kwanza tuendako si shwari 😄Kumbe M23 sio wa mchezo mchezo
no ni kulamba vichwa vya viongozi tu bila kujua nani anawatafuna!, umafia wa hali ya juu huku mnawamaliza kinguvu pia kiuchumi yani unapiga two in one!.Umafia upi? Mtawauwa wale Watusi (Banyamulenge) au itakuaje?
Hio kijeshi vp inaruhusiwa ,askari wa jeshi la taifa lingine kuvaa gwanda za nchi nyingine wakiwa kwenye missionyàani kagame kapiga nchi kibao. Kwa kuwa kutuma maneno makali SA, nchi zote hizi zipeleke wanajeshi kwa unifomu ya south africa basi
Harafu hao Watutsi wa DRC mnawapeleka wapi baada ya Kuwaua viongozi wao?no ni kulamba vichwa vya viongozi tu bila kujua nani anawatafuna!, umafia wa hali ya juu huku mnawamaliza kinguvu pia kiuchumi yani unapiga two in one!.
Kapost jana usiku
Post in thread 'Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.'
Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.
Tooo late. Tayari raia wameanza kuinga mkono M23. Hakuna serikali itakubali kuua raia wake. Kuna hatari Tshiked kukimbia nchi. Tuupe muda nafasi Kama Assad alikaza akaachia, hata Felix ni suala la muda. Sijasikia C Comments za rais Kabila kwenye huu mzozowww.jamiiforums.com
Hakuna haja ya kuficha wanajeshi waliokufa, kujeruhiwa au kutekwa wakiwa wanalinda amani. Tena wakiwa hawaruhusiwi kupigana.Tanzania imewahi kupeleka walinda amani nchi nyingi na haikuwahi kutangazwa idadi kamili ya waliokufa vitani.
Nchi karibu zote ndiyo hivyo hutaja wachache au hawataji kabisa kwa sababu fulani za kiusalama na mbinu za kivita.
Tanzania ina ujua ukweli kuwa m23 ndio jeshi halisi la congo na ndio wazalendo. HAo wengine wote n vibaraka periodThubutuni....!!