BBC: Wanajeshi waliouawa ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania. Hao Watanzania mbona hatuambiwi na mmefanya kimya?

BBC: Wanajeshi waliouawa ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania. Hao Watanzania mbona hatuambiwi na mmefanya kimya?

Ni kweli kabisa kwamba suala hili Lina mkanganyiko mkubwa sana kwa upande wa Tanzania.
Kwa sababu kwa taarifa zilizopo ni kwamba idadi ya Wanajeshi waliokufa kutokana na VIta hiyo ya huko Congo DR ni kubwa sana, kwa kipindi Cha wiki moja iliyopita idadi jumla ya Watu waliokufa inadaiwa kuwa ni zaidi ya Watu 1,000 (Raia na Wanajeshi). Wanajeshi Wapiganaji waliokufa ni zaidi ya mia Sita kutoka Vikosi vya Waasi na kutoka kwa Vikosi vya FARDS na Walinda Amani wa SADC+SAMIDRC Tanzania ikiwamo.
Nafikiri Serikali ya Tanzania unapaswa kutoa taarifa sahihi kwa umma ili kuondoa misinformation
Watu 700 ndani ya wiki sio mchezo
 
Kila nchi ina utaratibu wake kwenye masula ya ulinzi. Usilazimishe tufanane. Kwenye masuala ya ulinzi si sawa na masuala ya kijamii. Taarifa za jeshi si za kuzagaa kwenye mitandao. Kaa kwa kutuli kwani kukiwa na ulazima wa kuambiwa utaambiwa kama haupo tulia.
Kumbe M23 sio wa mchezo mchezo
 
Kila nchi ina utaratibu wake kwenye masula ya ulinzi. Usilazimishe tufanane. Kwenye masuala ya ulinzi si sawa na masuala ya kijamii. Taarifa za jeshi si za kuzagaa kwenye mitandao. Kaa kwa kutuli kwani kukiwa na ulazima wa kuambiwa utaambiwa kama haupo tulia.
Wakati wa JK Jumla ya Askari walioripotiwa kufariki Kwa taarifa rasmi ya serikali ni 23 ,why Sasa hivi mfiche? Ngoja nitafute vyombo vya habari vya Malawi namione kama wametoa taarifa
 
Hawawezi sema watu watakimbia jeshi, na wakitangaza nafasi za jeshi watakosa watu, hawasemagi
 
Wale hatari

Ova
Screenshot_20250202-094248.jpg
Screenshot_20250202-093414.jpg
 
Huenda ni mmoja alie kwenda na maji

Kapost jana usiku

Post in thread 'Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.'
 
Halafu kuna kichaa mmoja anakuja JF anasema Tanzania wakati huu vita ikishika kasi tukae kimya, tusiwe na upande. Mpuuzi kabisa.

Kagame apigwe mara moja.
Wakati unapanga kumpiga Kagame yeye anazidi kujichimbia na kujiimarisha kwenye taasisi zako nyeti.
 
yàani kagame kapiga nchi kibao. Kwa kuwa kutuma maneno makali SA, nchi zote hizi zipeleke wanajeshi kwa unifomu ya south africa basi
Hio kijeshi vp inaruhusiwa ,askari wa jeshi la taifa lingine kuvaa gwanda za nchi nyingine wakiwa kwenye mission
 
no ni kulamba vichwa vya viongozi tu bila kujua nani anawatafuna!, umafia wa hali ya juu huku mnawamaliza kinguvu pia kiuchumi yani unapiga two in one!.
Harafu hao Watutsi wa DRC mnawapeleka wapi baada ya Kuwaua viongozi wao?
 
Hapo mziki wa JW ndio unaanza..Twende na Jeshi la Burundi.
Kapost jana usiku

Post in thread 'Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.'
 
Tanzania imewahi kupeleka walinda amani nchi nyingi na haikuwahi kutangazwa idadi kamili ya waliokufa vitani.
Nchi karibu zote ndiyo hivyo hutaja wachache au hawataji kabisa kwa sababu fulani za kiusalama na mbinu za kivita.
Hakuna haja ya kuficha wanajeshi waliokufa, kujeruhiwa au kutekwa wakiwa wanalinda amani. Tena wakiwa hawaruhusiwi kupigana.

Kama ni active war kama Ukraine- Russia inawezekana kuona kuna umuhimu wa propaganda. Sio hii mission ya kulinda amani chini ya Chapter VI UN charter. Wote wametoa taarifa SA, Malawi, Uruguay na wa mwisho Tanzania. Jeshi limetoa taarifa. Kuna sababu gani za msingi za kuficha ukweli kwenye hii mission.

View: https://youtu.be/DEFhQXz-MSk?si=q0gHV--LucgS2ZNy
 
Back
Top Bottom