Tetesi: BBC wapo njiani kuja na mazito kuhusu kitabu cha Kabendera na kifo cha Ben Saanane

Tetesi: BBC wapo njiani kuja na mazito kuhusu kitabu cha Kabendera na kifo cha Ben Saanane

Habari wakuu!?

Kwa wale wanaowafahamu wazungu hasa shirika la BBC, hawa jamaa huwa wakipata taarifa ndogo huwa wanakaaa ofisini kwa wiki kadhaa au hata mwezi ama miezi kufanya uchunguzi kisha baada ya hapo wanaanza kufumua mengi zaidi ambayo yamejificha.

Kule Kenya wao ndio walichimba zaidi kuhusu mauaji ya mchungaji Makenze, kule Nigeria walifumbua mengi zaidi kuhusu shutuma za TB Joshua.

Kwa hili linaloendelea hapa Tanzania kutoka ktk kitabu cha Eric Kabendera, tutarajie taarifa nyingi zaidi zitakazotufanya tubaki midogmo wazi kutoka BBC.

Ninaamini kwa sasa wanachambua page after page na matukio ambayo watayagudia zaidi ni la Ben Saanane na kupigwa risasi kwa Tundu Lissu.

Yamkini kwa sasa wameshaanza uchunguzi wa kitabu hiki na wanaandaa nakala kadhaa kisha waanze kurusha hewani ni nini hasa kilitokea kwa Ben Saanane na kwa Lissu pia.

Mind you. Magharibi ma Ulaya walimpiga stop aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda asikanyage USA kwa kumhusisha na mauaji nchini.

Pia kule Uingereza wakatoa habari kwamba TIGO ilihusika na kutoa taarifa zilizosababisha Lissu kupigwa risasi. Hawa jamaa wakiamua kutuwekea mambo wazi watayaweka wazi kwelikweli, kile tunachokitamani kujua ukweli wake, huenda hawa jamaa wakawa nao tayari.

Mungu ibariki Afrika.
Mungu ibariki Tanzania.
Huu Upu'ribs utafumbiwa macho mpaka lini??? Sasa hii ni tetesi ya namna gani hii??

Poa poster..

..Ni Hayo Tu!!
 
Halafu kumbe hata kuua kwa mkono wake hakuwa na uzoefu, baada ya kumwaga ubongo wa Ben unaambiwa alitetemeka hadi kuangusha silaha aliyoitumia, Noma kweli yaani!
Mnafki sana yule, usikute alikuwa anaigiza kutetemeka mbele za watu ila alipojifunika shuka akilala alifurahi moyoni mwake.
 
Hapana hawa jamaa hua hawatoi taharifa za uongo, sababu faini yake sio mchezo, wanakuaga na ushahidi wa kutosha man!!
Yah ipo hivyooo, soon utawasikia KILE TUNACHOJUA KUHUSIANA NA MADAI YA KABENDERA JUU YA KIFO CHA BEN SAANANE.
 
Hawa jamaa hawatashindwa kumhoji Kabendera Live.
 
Na wakianzaga habari zao wale jamaa wanafululiza mwezi mzima.
 
Back
Top Bottom