Tujiulize Marekani ina uthibitisho upi hadi kudai Makonda anahusika na mauaji? Wana uthibitisho wa mauaji gani ambayo Mheshimiwa Paul Makonda anahusika?Mungu Wabariki Wazungu
Sana sana mkuu, na ameanza kutujibi kidogo kidogo, tuendeleze dua.Mungu wabariki waTanzania wameteseka sana
Siku ya mwisho kila goti litapigwaTujiulize Marekani ina uthibitisho upi hadi kudai Makonda anahusika na mauaji? Wana uthibitisho wa mauaji gani ambayo Mheshimiwa Paul Makonda anahusika?
Its just matter of time, kuna nyakati zinakuja na kila kitu kitakuwa open.
Na kila ulimi utakiri.Siku ya mwisho kila goti litapigwa
Assume wewe ndiye mzazi unapokea hii taarifa, inauma sana mkuu. Hakika anayeua kwa upanga atakufa kwa upanga.Jiwe bila aibu likamtwanga kijana ssiye na hatia Ben Saa8 shaba, halafu mwili wake ukatupwa mto rufiji.dah!
Magufuli 😁😁😆Pajama alivaa yule Dume mwenye kichaa
Halafu kumbe hata kuua kwa mkono wake hakuwa na uzoefu, baada ya kumwaga ubongo wa Ben unaambiwa alitetemeka hadi kuangusha silaha aliyoitumia, Noma kweli yaani!Jiwe bila aibu likamtwanga kijana asiye na hatia Ben Saa8 shaba, halafu mwili wake ukatupwa mto rufiji.dah!
Huyu naye mnataka kumuua kama Ben?Kabendera awe makini. Anacheza mchezo hatari mno. Hii awamu iko makini mno. Mange mwenyewe kashatulizwa kimyakimya.
Huu Upu'ribs utafumbiwa macho mpaka lini??? Sasa hii ni tetesi ya namna gani hii??Habari wakuu!?
Kwa wale wanaowafahamu wazungu hasa shirika la BBC, hawa jamaa huwa wakipata taarifa ndogo huwa wanakaaa ofisini kwa wiki kadhaa au hata mwezi ama miezi kufanya uchunguzi kisha baada ya hapo wanaanza kufumua mengi zaidi ambayo yamejificha.
Kule Kenya wao ndio walichimba zaidi kuhusu mauaji ya mchungaji Makenze, kule Nigeria walifumbua mengi zaidi kuhusu shutuma za TB Joshua.
Kwa hili linaloendelea hapa Tanzania kutoka ktk kitabu cha Eric Kabendera, tutarajie taarifa nyingi zaidi zitakazotufanya tubaki midogmo wazi kutoka BBC.
Ninaamini kwa sasa wanachambua page after page na matukio ambayo watayagudia zaidi ni la Ben Saanane na kupigwa risasi kwa Tundu Lissu.
Yamkini kwa sasa wameshaanza uchunguzi wa kitabu hiki na wanaandaa nakala kadhaa kisha waanze kurusha hewani ni nini hasa kilitokea kwa Ben Saanane na kwa Lissu pia.
Mind you. Magharibi ma Ulaya walimpiga stop aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda asikanyage USA kwa kumhusisha na mauaji nchini.
Pia kule Uingereza wakatoa habari kwamba TIGO ilihusika na kutoa taarifa zilizosababisha Lissu kupigwa risasi. Hawa jamaa wakiamua kutuwekea mambo wazi watayaweka wazi kwelikweli, kile tunachokitamani kujua ukweli wake, huenda hawa jamaa wakawa nao tayari.
Mungu ibariki Afrika.
Mungu ibariki Tanzania.
Ha ha haKabendera awe makini. Anacheza mchezo hatari mno. Hii awamu iko makini mno. Mange mwenyewe kashatulizwa kimyakimya.
Tusubiri kwanza tutajua tuThen what next?
Mnafki sana yule, usikute alikuwa anaigiza kutetemeka mbele za watu ila alipojifunika shuka akilala alifurahi moyoni mwake.Halafu kumbe hata kuua kwa mkono wake hakuwa na uzoefu, baada ya kumwaga ubongo wa Ben unaambiwa alitetemeka hadi kuangusha silaha aliyoitumia, Noma kweli yaani!
Hapana hawa jamaa hua hawatoi taharifa za uongo, sababu faini yake sio mchezo, wanakuaga na ushahidi wa kutosha man!!Zile habari za akina Makenzie zilikuwa ni uongo?
Muda ni hakimu mzuri sana.Tusubiri kwanza tutajua tu
Yah ipo hivyooo, soon utawasikia KILE TUNACHOJUA KUHUSIANA NA MADAI YA KABENDERA JUU YA KIFO CHA BEN SAANANE.Hapana hawa jamaa hua hawatoi taharifa za uongo, sababu faini yake sio mchezo, wanakuaga na ushahidi wa kutosha man!!