Tetesi: BBC wapo njiani kuja na mazito kuhusu kitabu cha Kabendera na kifo cha Ben Saanane

Nawasubiri BBC waweke mambo hadharani kama walivyoweka yale maozo ya TB Joshua hadharani. Kuna ushenzi wa hatari aloufanya Magufuli lazima mambo yote yaanikwe juani!
Kabisa mkuu, jamaa alichukua mpaka pesa ambazo watu tulichanga kwa ajili ya maafa ya kule kagera ili ndugu zetu wale na kulala, yeye akachukua pesa zote.
 
Kabisa mkuu, jamaa alichukua mpaka pesa ambazo watu tulichanga kwa ajili ya maafa ya kule kagera ili ndugu zetu wale na kulala, yeye akachukua pesa zote.
Atazilipa zote!
 
BBC wazee wa propaganda.

Hatuna madhara kimataifa, maza sio threat kwao, hawawezi kumfanyia hivyo. Kwa kifupi mabeberu hawana maslahi na Tz.
Ukisikia mtu anamwita mwingine beberu jua ana matatizo kichwani, hizi lugha nilizisikia mwaka 1971 nikisoma shule ya msingi, hadithi za Kibanga kampiga mkoloni leo kwenye majina ya utandawazi hata Nyerere mwenyewe aliacha kutumia msamiati huu kabla hajafa
 
Nani kakwambia naishi kwa kufata Nyerere alisema nini??
Wale ni mabeberu hutaki ni beberu utake ni beberu.
 
Hili la Makamu wa Rais kutaka kubakwa mbona haliungumzwi sana?
 
Hawa jamaa BBC wana watu wa kila aina ktk kila nyanja pale wanapohitaji habari fulani kwa kina. Wana military analysts, intelligence n.k
Kwamba hao experts wamekaa wakisubiri kitabu cha Kabendera (mfuata upepo) ndio waingie kazini?

So Lame!
Wakiingia mzigoni wakitoka wanatoka mambo mazito.

Kusema kwamba M16 na CIA ni dhaifu mbele ya TISS?
 
Tujiulize Marekani ina uthibitisho upi hadi kudai Makonda anahusika na mauaji? Wana uthibitisho wa mauaji gani ambayo Mheshimiwa Paul Makonda anahusika?

Its just matter of time, kuna nyakati zinakuja na kila kitu kitakuwa open.
Hebu tupunguzie chumvi zako pls!

Mauaji ama vendetta yake against Gay pips & their societies?โ€™

Uwongo mwepesi.
 
Ukisha kuwa na taifa lenye idara ya usalama dhaifu lazma bbc wapate kile wanacho kitaka.. Kwa Tanzania sahau hilo.. hawato pata chochote kipya tofauti na kile tulicho kwisha kukiskia..
Unajidanganya, wengi ya wafanyakazi wa mashirika ya utangazaji na misaada ni mashushu wa nchi za magharibi usishangae hata ndani ya ikulu wapo
 
You people are simply going Loco!

Mnatengeneza fake scenarios guided by your hate & stupidity!

Well, letโ€™s be entertained hakuna namna.
 
Mbona BBC siku hizi watu wanaidharau sana,Wanaaandika yalieyanayowapendeza wazungu wa Magharibi tu.Na wamedharaulika zaidi namna wanavyoripoti vita ya Ukraine na kule mashariki ya kati. kwa hiyo waje na habari ya Kitabu cha KIbendera au wasije nayo,Tanzania ipo palepale na haiyumbishwi na ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ