Tetesi: BBC wapo njiani kuja na mazito kuhusu kitabu cha Kabendera na kifo cha Ben Saanane

Kwamba hao experts wamekaa wakisubiri kitabu cha Kabendera (mfuata upepo) ndio waingie kazini?

So Lame!
Huyu mmawia ana shida sana, anapambana na mtu asiye na madhara kwake Wala kwa yoyote yule ikiwemo ccm yenyewe!!!

Magu keshakufa, naona Kuna anasema atalipa yote (rambi rambi ya kagera) analipaje sasa??!

Mental illness is really to some dudes!!!
 
Ingekuwa ni enzi ya Magufuli hao BBC wangekuwa tayari wameshakitangaza hicho kitabu. Ona jinsi walivyomshobokea Lissu lakini tangu Magufuli afe hawataki hata kumsikia Lissu😁😁
 
Upuuzi mtupu. Yaani taasisi kubwa ipoteze mda wake kwa kakijitabu kilichoandikwa na mwanasiasa wa kiafrika!

Anyway mleta mada na wafuasi wako nyote ni wafa maji, kutapatapa ni lazima. Halafu rekebisha... Makonda hakupigwa ban sababau ya mauaji
 
BBC Swahili service imekuwa ya hovyo sana, inatumia wahariri wa kitanzania ambao wengi ni machawa. Mfano katika kipindi cha matukio muhimu ya 2024, walikwepa makusudi kuzungumzia kilichofanyika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa!
 
Alidanganywa sana na Kabwe

Hapo UK Memba alichotwa kama mzoga tu 😂😂😂🐼

Sidhani kama ulikuwa kiumbe hai wakati huo
Inampasa aandike hivyo vitabu na kuzusha Uongo wake ili aendelee kupata hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa .😁
 
Upuuzi mtupu. Yaani taasisi kubwa ipoteze mda wake kwa kakijitabu kilichoandikwa na mwanasiasa wa kiafrika!

Anyway mleta mada na wafuasi wako nyote ni wafa maji, kutapatapa ni lazima. Halafu rekebisha... Makonda hakupigwa ban sababau ya mauaji
Sawa.
 
Huyu mmawia ana shida sana, anapambana na mtu asiye na madhara kwake Wala kwa yoyote yule ikiwemo ccm yenyewe!!!

Magu keshakufa, naona Kuna anasema atalipa yote (rambi rambi ya kagera) analipaje sasa??!

Mental illness is really to some dudes!!!
Akheri hata wangekua na mental illness!

Hawa ni parasites.
 
Kwamba Zuchu Unus na Kekeke walikuja kinamna?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…