Tetesi: BBC wapo njiani kuja na mazito kuhusu kitabu cha Kabendera na kifo cha Ben Saanane

Alale pema muasisi wa kauli za kijinga, hakika hatosahaulika mioyoni mwetu, tunamuenzi kwa kauli zake.

Hakika mabeberu walimkoma
Yeye mwenyewe baada ya kuona haziko applicable kwa zana hizi aliziacha, bali wajinga mnaziendeleza kwa sababu ndani ya vichwa vyenu mnabebea maziwa hakuna ubongo
 
Kabendera awe makini. Anacheza mchezo hatari mno. Hii awamu iko makini mno. Mange mwenyewe kashatulizwa kimyakimya.
Makini katika kutengeneza mercenaries WA kuteka na kuua watu na kufanya ufisadi na abuse of power .
Pumbavu wewe
Hivi watz mna akili au mavi kwenye hayo mafuvu yenu ?
Kwa hiyo wewe unaona huu upuuzi ni wa kufurahiwa na watu kukaa kimya bila kuexpose huo uovu na kuukemea ?
 
Aende Hardtalk akabanwe kama Lissu na kitabu chake cha hadithi za kutunga.
 
Acha upumbavu wewe keyboard warrior. Usijitoe ufahamu. Ungeanza kutumia jina lako halisi badala ya fake ID.
 
Wazee wa propaganda tu
 
Yeye mwenyewe baada ya kuona haziko applicable kwa zana hizi aliziacha, bali wajinga mnaziendeleza kwa sababu ndani ya vichwa vyenu mnabebea maziwa hakuna ubongo
Sawa hayo maziwa yaliyo huku kichwani ndo yashakalili kua wale ni mabeberu, alichokianzisha mwendezake kitaendelezwa na sisi wafuasi wake popote hata kama aliacha hata wafuasi wa mabeberu mkikasirika.
 
Sawa hayo maziwa yaliyo huku kichwani ndo yashakalili kua wale ni mabeberu, alichokianzisha mwendezake kitaendelezwa na sisi wafuasi wake popote hata kama aliacha hata wafuasi wa mabeberu mkikasirika.
Mfuasi wa juha ni zaidi ya juha
 
BBC wako upande wa mabeberu iko wazi watamkandamiza mzee wa watu
 
Kuna watanzania wenzetu hadi tunajiuliza hawa ni binadamu kweli? Je, ni pesa ndo zinawafanya wawe watumwa kiasi hiki au ni nini?

Inasikitisha saana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…