Yeye mwenyewe baada ya kuona haziko applicable kwa zana hizi aliziacha, bali wajinga mnaziendeleza kwa sababu ndani ya vichwa vyenu mnabebea maziwa hakuna ubongoAlale pema muasisi wa kauli za kijinga, hakika hatosahaulika mioyoni mwetu, tunamuenzi kwa kauli zake.
Hakika mabeberu walimkoma
Makini katika kutengeneza mercenaries WA kuteka na kuua watu na kufanya ufisadi na abuse of power .Kabendera awe makini. Anacheza mchezo hatari mno. Hii awamu iko makini mno. Mange mwenyewe kashatulizwa kimyakimya.
Acha upumbavu wewe keyboard warrior. Usijitoe ufahamu. Ungeanza kutumia jina lako halisi badala ya fake ID.Makini katika kutengeneza mercenaries WA kuteka na kuua watu na kufanya ufisadi na abuse of power .
Pumbavu wewe
Hivi watz mna akili au mavi kwenye hayo mafuvu yenu ?
Kwa hiyo wewe unaona huu upuuzi ni wa kufurahiwa na watu kukaa kimya bila kuexpose huo uovu na kuukemea ?
BBC ilitoaje ushahidi huo? Au ulikata kusema waliripoti.Hiyo ndio ilitoa ushahidi wa tigo kuhusika na kushambuliwa kwa Lissu?
Wazee wa propaganda tuHabari wakuu!?
Kwa wale wanaowafahamu wazungu hasa shirika la BBC, hawa jamaa huwa wakipata taarifa ndogo huwa wanakaaa ofisini kwa wiki kadhaa au hata mwezi ama miezi kufanya uchunguzi kisha baada ya hapo wanaanza kufumua mengi zaidi ambayo yamejificha.
Kule Kenya wao ndio walichimba zaidi kuhusu mauaji ya mchungaji Makenze, kule Nigeria walifumbua mengi zaidi kuhusu shutuma za TB Joshua.
Kwa hili linaloendelea hapa Tanzania kutoka ktk kitabu cha Eric Kabendera, tutarajie taarifa nyingi zaidi zitakazotufanya tubaki midogmo wazi kutoka BBC.
Ninaamini kwa sasa wanachambua page after page na matukio ambayo watayagudia zaidi ni la Ben Saanane na kupigwa risasi kwa Tundu Lissu.
Yamkini kwa sasa wameshaanza uchunguzi wa kitabu hiki na wanaandaa nakala kadhaa kisha waanze kurusha hewani ni nini hasa kilitokea kwa Ben Saanane na kwa Lissu pia.
Mind you. Magharibi ma Ulaya walimpiga stop aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda asikanyage USA kwa kumhusisha na mauaji nchini.
Pia kule Uingereza wakatoa habari kwamba TIGO ilihusika na kutoa taarifa zilizosababisha Lissu kupigwa risasi. Hawa jamaa wakiamua kutuwekea mambo wazi watayaweka wazi kwelikweli, kile tunachokitamani kujua ukweli wake, huenda hawa jamaa wakawa nao tayari.
Mungu ibariki Afrika.
Mungu ibariki Tanzania.
Sawa hayo maziwa yaliyo huku kichwani ndo yashakalili kua wale ni mabeberu, alichokianzisha mwendezake kitaendelezwa na sisi wafuasi wake popote hata kama aliacha hata wafuasi wa mabeberu mkikasirika.Yeye mwenyewe baada ya kuona haziko applicable kwa zana hizi aliziacha, bali wajinga mnaziendeleza kwa sababu ndani ya vichwa vyenu mnabebea maziwa hakuna ubongo
Mfuasi wa juha ni zaidi ya juhaSawa hayo maziwa yaliyo huku kichwani ndo yashakalili kua wale ni mabeberu, alichokianzisha mwendezake kitaendelezwa na sisi wafuasi wake popote hata kama aliacha hata wafuasi wa mabeberu mkikasirika.
Unamaanisha ni juha+Mfuasi wa juha ni zaidi ya juha
Kuna watanzania wenzetu hadi tunajiuliza hawa ni binadamu kweli? Je, ni pesa ndo zinawafanya wawe watumwa kiasi hiki au ni nini?Makini katika kutengeneza mercenaries WA kuteka na kuua watu na kufanya ufisadi na abuse of power .
Pumbavu wewe
Hivi watz mna akili au mavi kwenye hayo mafuvu yenu ?
Kwa hiyo wewe unaona huu upuuzi ni wa kufurahiwa na watu kukaa kimya bila kuexpose huo uovu na kuukemea ?
Asante kwa kunielewa.BBC ilitoaje ushahidi huo? Au ulikata kusema waliripoti.
Nope ni ya Hard TalkBBC hii ya Kikeke? 🐼