macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mnataka ku-suggest kwamba hiyo kampuni ni ya hovyo kiasi ambacho hawajui documents muhimu za kumpa mteja wao? Hivi ukinunua gari ni wewe mteja unaomba documents au ni muuzaji anatakiwa akupe?Kuna siku mtu alileta uzi akasema: Kabla haujalipia gari kutoka Japan (mfano Beforward) omba upewe zile karatasi mbili, (1) Auction Sheet na (2) Condition Report/Form.
Matatizo yoote uliyoyasema yapo Alphard inamaanisha yangekuwepo yametajwa kwenye izo documents.
Kama haukuomba sasa iyo issue nyingine.
Hafu, kwanini TBS wanapitisha gari huku, si uwa wanamaliza inspection Japan? Au umeagiza from Singapore.?
Hapana mkuu. Tatizo ilitakiwa waziweke wazi basi. Au ukianza kuchat nao wakupe. Ila hawakupi hadi uombe.Mnataka ku-suggest kwamba hiyo kampuni ni ya hovyo kiasi ambacho hawajui documents muhimu za kumpa mteja wao? Hivi ukinunua gari ni wewe mteja unaomba documents au ni muuzaji anatakiwa akupe?
Customer care yao ni mbovu mno.Don’t buy used car from Be Forward..!! Gari zao zimechoka sana sana, wanaziosha na kuzipiga polish na little maintenance alafu wanakwambia iko vizuri sana, ujue Be Forward ni ya Mkinga mtanzania yuko Japan, kusema ukweli, magari mengi mno ya Be Forward ni mabovu sana na customer care yao mbovu sana..
I always buy cars from Japan kwa kufuata mwenyewe huko Japan au kupitia mitandao kama SBT Tz au TCV etc..!!
Hii ni hasara sana mkuu. Pole sanaGari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpya lakini wapi.!
Auction sheet na condition report hapa ndio wengi tunapigwa sana, kuna gari nilitaka kuilipia SBT nikaomba hizi document nikaambiwa unazipata baada ya kulipia nikaona huyu ni mbuzi kwenye gunia tayari. Hawa mawakala tunatakiwa kuwa nao makini eti ukishalipia ndio ujue lina hali gani.Kuna siku mtu alileta uzi akasema: Kabla haujalipia gari kutoka Japan (mfano Beforward) omba upewe zile karatasi mbili, (1) Auction Sheet na (2) Condition Report/Form.
Matatizo yoote uliyoyasema yapo Alphard inamaanisha yangekuwepo yametajwa kwenye izo documents.
Kama haukuomba sasa iyo issue nyingine.
Hafu, kwanini TBS wanapitisha gari huku, si uwa wanamaliza inspection Japan? Au umeagiza from Singapore.?
Mnn! Toyota hapo andaa 20M nyingine.Ni ya 2014, gari haiwezi kwenda hata Kariakoo inachemsha! Naomba ushari nifanyeje na hii gari. Je Toyoto Tanzania wanaweza nisaidia, maana gereji za mitaani hii imewashinda
Mmh hicho kirusi mtafute msukuma mmoja muizie bei ya mkokoteni angalau atafunga ng"ombe pale mbele waende sawa.Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpya lakini wapi.!
Naona wengi wameikubali. Coworker ana ndogo yake RVR haijawahi msumbua karibia mwaka sasa
Hii ni chuma ninayo ya 2008 wala sijutii kuwa nayo comfortability+durability inajitahidi.. six gear simulation huwezi ifananisha na tako la ngedere toleo la mwaka 2008!!
Nilinunua mwaka2022 hadi leo hii haijawahi niletea kwere.. safari ndefu nakwenda nayo mara nyingi karibu kwenye Mitsubishi outlander Mr Kolo [emoji1787] (joke)
Mkuu uliyonayo ni Outlander au RVR?Mimi ninayo mwaka wa pili na haijawahi nisumbua mkuu. Chuma imetulia
pole mkuuWakuu natumai mu wazima!
Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.
Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.
Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.
Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.
Asanteni wakuu.
Papatu papatuIlikuwa Singapore Mkuu ila kupitia ofisi yao ya Japan na Tanzania.
Kwahiyo umetumia zaidi ya million 36Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpya lakini wapi.!
Kampuni ya uhakika haijalishi umenunua mwenyewe au la watakupa bidhaa nzuri TU kwani wao ndio wanatakiwa wawahakikishie bidhaa Bora wateja wao nje ya hapo hiyo kampuni ni janja janja imebaki kuuzia jinapole mkuu
najua umeandika kutokana na machungu uliyonayo. nashauri
siku ingine kama unafanya manunuzi makubwa kama hivi hakikisha unapata usaidizi kutoka kwa wahusika wanaofanya izo shughuli itakuepusha na hasara km ivi.
ila kama unaona unaweza kuendelea kununua mwenyewe hakikisha unazijua abc za kufanya manunuzi huko mitandaoni baadhi ya izo abc zimeelezwa hum km kuangalia ripoti za gari unalonunua km kuna kitu hakiko saw huwa hawafichi mfano km A/c mbovu wanakuandikia hawakufichi uchague mwenyewe. sasa tatizo letu sisi waswahili hatusomi na apo ndo wanapotunyooshea.
uzuri wa beforward kwanza ni kampuni kubwa sana nadhani kwa ukanda huu hamna wengine wenye ukubwa km wa ao jamaa. wana stock kubwa za kwao wenyewe wanaziita BF na za watu wa nje wanaoleta kuuza apo yani 3rd party. izo stock zipo nchi mbalimbali. izi kampuni zingine zote ulizotajiwa humu sijui nikyyo, autocom, autorec, sbt n.k ni vikampuni vidogo vidogo vyenye magari machache machache sana kulinganisha na hao jamaa.
kuna jamaa namfaham ananunua sana kupitia beforward na sijawahi kusikia anawalalamikia. na uzuri wa hawa uwa wanaweka izo ripoti za magari yao mtandani unaziona wazi tu.
so usikatishwe tamaa na yaliyokutokea bali uchukue kama mafunzo kwa uko mbeleni iwapo utapendelea kuwa unanunua mwenyewe au la kavipi waone wahusika mahsusi wa izo kazi wakusaidie.
Hii Sasa chai. Alphard 26m kabla ya ushuru? Una mañana ukijumlisha na ushuru unataka kusema ulilipa over 40m?Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpya lakini wapi.!