Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Hilo gari litakuwa na MajiniGari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpay lakini wapi.!
Hii ni chuma ninayo ya 2008 wala sijutii kuwa nayo comfortability+durability inajitahidi.. six gear simulation huwezi ifananisha na tako la ngedere toleo la mwaka 2008!!Mitsubishi Outlander SUV 7 seaters unaizungumziaje mkuu?
Mimi ninayo mwaka wa pili na haijawahi nisumbua mkuu. Chuma imetuliaNaona wengi wameikubali. Coworker ana ndogo yake RVR haijawahi msumbua karibia mwaka sasa
Safi OKW BOBAN SUNZUMimi ninayo mwaka wa pili na haijawahi nisumbua mkuu. Chuma imetulia
Hii ni chuma aisee,ni SUV ya bei ya chini kuliko SUV zote..Hii ni chuma ninayo ya 2008 wala sijutii kuwa nayo comfortability+durability inajitahidi.. six gear simulation huwezi ifananisha na tako la ngedere toleo la mwaka 2008!!
Nilinunua mwaka2022 hadi leo hii haijawahi niletea kwere.. safari ndefu nakwenda nayo mara nyingi karibu kwenye Mitsubishi outlander Mr Kolo [emoji1787] (joke)
Basi baridi mtopolo,ngoja niendelee kuweka hesabu vizuri.Hii ni chuma ninayo ya 2008 wala sijutii kuwa nayo comfortability+durability inajitahidi.. six gear simulation huwezi ifananisha na tako la ngedere toleo la mwaka 2008!!
Nilinunua mwaka2022 hadi leo hii haijawahi niletea kwere.. safari ndefu nakwenda nayo mara nyingi karibu kwenye Mitsubishi outlander Mr Kolo [emoji1787] (joke)
Uko sahihi sema zinapishana price kulingana na mwaka iliyotengenezwa mfano Outlander ya 2012-2013 imesimama mzee sio poaHii ni chuma aisee,ni SUV ya bei ya chini kuliko SUV zote..
Fanya hivyo bwana ngada.. chuma iko vizuri cha muhimu cheki site tofauti tofauti ulinganishe bei. Mimi niliagiza kupitia autocom Japan. Shida ya hawa wanastock ndogo sana ya hizi gari, uzuri wao bei yao iko poa na msimu huu vile uchumi wa Japan umeyumba wanauza bei nafuu kiasiBasi baridi mtopolo,ngoja niendelee kuweka hesabu vizuri.
Mkuu, Be forward Japan na Dar Es Salaam walihusika kwa asilimia 100% hata pesa nililipa kwenye account ya Japan. Sasa kwanini walete gari bovu???Utakuwa ulivutiwa na bei, sikunyingine nunua zilizo kwenye stock za japan na si vinginevyo. Hapo shida ni mnunuzi kutokuwa makini.
naomba kufahamu hizo kampuni za Japan zenye ofisi DarPole sana mkuu sikuhizi ushindani ni mkubwa sana sie wengine tumeamua kabisa kuwa na watu wetu japan kwa ajili ya kukagua gari moja kwa moja.
Pili kuna documents ulinyimwa iwe ni kwa kutokujua au kwa kujua na mwisho alphard kwa singapore mpka inafika dar inaweza kufikia mpka 22m au hata 18m sababu gari za kule nyingi ni low ended car mtu akiagiza gar singapore ana tofauti ndogo sana na aliyeagiza gari Zanzibar.
Mwisho kama ni mkazi wa dar ziko kampuni nyingi sana sku hizi zinauza magari hapa hapa dar kwa bei kama ya japan unakagua chuma yako unajiridhisha unatumia ipo alphard ofisini hapa mwaka 2007 ungekuwa na 25m tungekupa au kama utaongeza hela tuje ikagua hyo yako tuvunje uongeze hela tukupe hii
Wewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Asante kwa ushauri mkuu, nitaufanyia kazi.Pole sana mkuu sikuhizi ushindani ni mkubwa sana sie wengine tumeamua kabisa kuwa na watu wetu japan kwa ajili ya kukagua gari moja kwa moja.
Pili kuna documents ulinyimwa iwe ni kwa kutokujua au kwa kujua na mwisho alphard kwa singapore mpka inafika dar inaweza kufikia mpka 22m au hata 18m sababu gari za kule nyingi ni low ended car mtu akiagiza gar singapore ana tofauti ndogo sana na aliyeagiza gari Zanzibar.
Mwisho kama ni mkazi wa dar ziko kampuni nyingi sana sku hizi zinauza magari hapa hapa dar kwa bei kama ya japan unakagua chuma yako unajiridhisha unatumia ipo alphard ofisini hapa mwaka 2007 ungekuwa na 25m tungekupa au kama utaongeza hela tuje ikagua hyo yako tuvunje uongeze hela tukupe hii
achana nayo mkuu.. shuhuda hapa wa gari za Singapore. ilikuwa subaru ilisumbua hakuna rangi niliacha kuona.Wewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Naomba makampuni mengine ya Japan yenye ofisi Dar please, mbarikiwe sananaomba kufahamu hizo kampuni za Japan zenye ofisi Dar
OKay nashukuruMkuu, unataka kupeleka Toyota Tanzania? No way.. Kwa humu JF namjua fundi mmoja mzuri sana JituMirabaMinne ungeanza nae. Kwasababu gari la kisasa 2014 lazima lifanyiwe diagnosis. Na yeye ni Master.
Ndugu yangu.....nimezunguka gereji nyingi, inaonekana hizi version zinawasumbua mafundi wengi. Kila mtu anasema lake, mpaka nimenunua gear box mpya 800,000 na bado gari haijapona! Ndio maana nikaona labda niende Toyota Tanzania. Kama kuna fundi anaweza niashukuruOKay nashukuru
Ni kama bahati hivi kupitia huu uzi. Ningepata hypertension mwaka huu dadekiGari za singapore ni kama kubeti. Nina washkj kadhaa wanalia gari za huko.
Sema zinatamanisha sana aisee, nna mwana ana rav 4 ya mwaka 2006 aisee ina body kit kali, mlango wa nyuma kama wa vanguard, ina sunroof na speed 260 (kwa shape nje ukiichek utadata). Halafu pia ni diesel na ni manual.
Ila since kaagiza limefika linamsumbua sana aise.
Ila kwa specs kama hizo ni ngumu kupata gari za japan
So watu wanakimbilia singapore ndo wanaliwa kichwa