Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

Dah! Pole sana Mkuu. Kwa Alphard hiyo hela ilipaswa upate gari isiyo na shida kwa kiwango hicho. Hao watu wamekuonea sana.

Ya kwangu iliwahi kupata shida kama hiyo, na ikawa inakunywa mafuta balaa, ila Kuna dogo mmoja mtundu aliiokoa ikatulia kabisa.

Sijawasiliana muda mrefu, maana niko safari, ila kesho nikipata namba zake nitakutumia. Yeye yuko Dar. Anaweza kukusaidia.

Ova
Nitashukuru mkuu asante sana
 
Navyojua kama imepitia beforward kutoka Singapore hapo be forward ni third part ame act kama dalali tu na gari hakagui....

Nishanunua gari kutoka singapore ila yule agent wa singapore sikumuamini. Nikamcheki mtu wa SBT Japan akaicheki ile gari wakaikagua na kui reserve ndio nikanunua kupitia SBT ila waliongeza chao cha duu dola mia kadhaa....

Nilinunua 2021/22 iko poa tu...
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Kama wamekufanyia huu unyama Mkuu basi wekeza nguvu kubwa kwenye kuchafua hii kampuni mpaka wanuke mavi
❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Forward huu uzi kwenye whatsapp yao
 
Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpya lakini wapi.!
26M+ 10M = 36M duh hapo unapata mkwaju safi Japan wa Vanguard
 
Ndio hivyo na gari ipo juu ya mawe, inaniumiza sana. Mbaya zaidi Be forward hawakutaka kunisaidia kwa lolote. Imenikatisha sana tamaa ya kutumia Be forward, na sifahamu sana mitandao mingine ambayo ni genuine ya kuagiza magari
Nenda na SBT au Nikkyo kama bado una mashaka wape wataalamu wakuagizie maana kuna watu wana watu wao huko huko Japan anapoint kitu kikija mwenyewe unakubali
 
Be Forward kwa bongo ndio kampuni ambayo inaaminika sana kama wameanza business za kubahatisha basi wengi wanaenda kuumia ila ushauri unaponunua kitu chochote cha gharama yakupaswa uwekeze muda mwingi kwenye kukichunguza maana gari ikishaingia bongo kulikataa ni gharama na kuna take time
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Ujuaji umekuponza ofisi zao zipo hapa mawasiliako yapo kwanini uagize direct.?

Unapiga simu Pakistan sijui japan si wanakupakilia gari lolote wanakuletea.
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Watanzania tunapenda cheap, gari za singapore siyo gari watu hawaelewi ,
Gari reliable zipo japan na southafrica tu
 
Ilikuwa Singapore Mkuu ila kupitia ofisi yao ya Japan na Tanzania.
Wewe ndio mjinga wala sio wao.

Kwa nini uagize gari Singapore tena gari ya Mjapan, hapo inamaanisha gari imetumika Japan, ikaenda kutumika Singapore then ukanunua wewe, unategemea itakuwa sawa na iliyonunuliwa kwenye minada ya Japan?

Bad enough huna experince na mambo ya magari, kwanini hukuomba ushauri hata humu jukwaani kuna wataalam na wazoefu wangekupa elimu ya bure.

Siku nyjngine jifunze kabla hujachukua hatua.
 
Mkuu nadhani Ni jukumu lao kunipa hizo documents ili kulinda integrity yao. Ndahani Mimi nitajuaje kama zinahitajika?? Wamenitia hasara sana. Nimepata pia na wadau wengine wanalalamikia same thing
Pole sana mkuu sikuhizi ushindani ni mkubwa sana sie wengine tumeamua kabisa kuwa na watu wetu japan kwa ajili ya kukagua gari moja kwa moja.

Pili kuna documents ulinyimwa iwe ni kwa kutokujua au kwa kujua na mwisho alphard kwa singapore mpka inafika dar inaweza kufikia mpka 22m au hata 18m sababu gari za kule nyingi ni low ended car mtu akiagiza gar singapore ana tofauti ndogo sana na aliyeagiza gari Zanzibar.

Mwisho kama ni mkazi wa dar ziko kampuni nyingi sana sku hizi zinauza magari hapa hapa dar kwa bei kama ya japan unakagua chuma yako unajiridhisha unatumia ipo alphard ofisini hapa mwaka 2007 ungekuwa na 25m tungekupa au kama utaongeza hela tuje ikagua hyo yako tuvunje uongeze hela tukupe hii
Watu wanaagizaje magari kwenye picha used? Yaani niliachaga huo ujinga gari zipo nyingi sana showroom naenda na begi langu nakagua gari bila fundi nanunua
 
Gari za Singapore mbona be forward huwa wanaweka maelezo vizuri tu mzee. Usiwalaumu kabisa.

Registration Year/month] is a registration date in Stock Country.




" [Manufacture Year/month] is provided by the 3rd Party Supplier.
BE FORWARD shall not be responsible for any loss, damages and troubles caused by this information.
* The odometer reading is provided by the 3rd Party Supplier.
BE FORWARD has not checked nor verified the authenticity of the information. BE FORWARD does not warrant the authenticity of the information.
* Chassis No. is provided by the 3rd Party Supplier.
The chassis number might be a temporary number so the chassis number can be changed before shipment. In that case, the accurate chassis number will be updated on official documents. BE FORWARD has not checked nor verified the authenticity of the information. BE FORWARD does not warrant the authenticity of the information.
Features
""
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Janjapan wako vizuri sana
 
Back
Top Bottom