mimi nilishanunua gari kutoka Singapore mara mbili na nilipata gari bomba kabisa.Wewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Tuambie ulifanyaje kuepuka hizo risks zilizotajwa humu maana ni wewe tu umekuwa positive na Singidamimi nilishanunua gari kutoka Singapore mara mbili na nilipata gari bomba kabisa.
Wana nini kizuri mkuu, maana jina lao limekaa vibayaJanjapan wako vizuri sana
Naomba namba zao za wazap mkuuForward huu uzi kwenye whatsapp yao
Huu ni ujinga wa kiwango cha lami! Unawezaje kuuza gari wakati huwezi kuensure wateja wako wanapata nini? Mimi hayo mengine mimi sijui najua ni Be forward kama wao wanadeal na matapeli huo ni uzembe wao. Hii issue nitaenda nahyo mbaliGari za Singapore mbona be forward huwa wanaweka maelezo vizuri tu mzee. Usiwalaumu kabisa.
Registration Year/month] is a registration date in Stock Country.
" [Manufacture Year/month] is provided by the 3rd Party Supplier.
BE FORWARD shall not be responsible for any loss, damages and troubles caused by this information.
* The odometer reading is provided by the 3rd Party Supplier.
BE FORWARD has not checked nor verified the authenticity of the information. BE FORWARD does not warrant the authenticity of the information.
* Chassis No. is provided by the 3rd Party Supplier.
The chassis number might be a temporary number so the chassis number can be changed before shipment. In that case, the accurate chassis number will be updated on official documents. BE FORWARD has not checked nor verified the authenticity of the information. BE FORWARD does not warrant the authenticity of the information.
Features""
+818099777144Naomba namba zao za wazap mkuu
Kampuni niliyotumia ilikuwa inaitwa Car junction, na kwa kipindi hicho sikufanya lo lote la ziada, niliona gari kwenye mtandao nikanegotiate bei halafu nikatuma pesa.Tuambie ulifanyaje kuepuka hizo risks zilizotajwa humu maana ni wewe tu umekuwa positive na Singida
Hao wa Mwanza wenyewe wananunua Dar. Fuata gari Dar njoo na dereva wako mnaweka budget ya wese 250 mshafika Mwanza.Naomba ushauri wa kununua gari showroom mkoa wa Mwanza
Ungekuwa umepekua vizuri humu ungepata kujua kuwa kwa magari ya kutoka Singapore, huwa hakuna mkaguzi.Ilikuwa Singapore Mkuu ila kupitia ofisi yao ya Japan na Tanzania.
akili kumkichwa sasa.Wewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Ni kadogo dogo unaweza kukapiga spacer kidogoNdio natafuta gari ya familia, iwe kuanzia 2014
Mnanipa tumbo joto ndo kwanza juzi nimetoka kulipiaKwa izo Kia, kuanzia 2010 ni kali sana kuona mbadala ngumu.
Ila kama tu family car, ungeanza kwa kujiuliza unataka minivan (mfano Alphard) au SUV (kama Harrier), hafu issue ya engine size (kwaajili ya fuel consumption) na mwisho ndio ije matumizi yako sana sana ni yapi?
Unaweza nunua gari la familia (mfano Alphard) kwaajili ya Familia kutoka out ambapo ni Jumapili kanisani, na December mnaenda Moshi na mara moja kwa mwezi kwenda beach.
So siku zingine unakua unatembea na bonge la gari kwenda na kurudi kazini peke yako, ukipambana na challenge za parking, na driving kwenye barabara zetu finyu
Tuombee itakua nzuri. Yes pale Ocean Road ndio ofisi ata mi nilienda kulipia pale pale.Mnanipa tumbo joto ndo kwanza juzi nimetoka kulipia
Ila ni ya japan
Sikuomba hizo karatasi ila ndo nimemuokba sasa hivi
Nilinunua kupitia watu wao wa bongo
Ofis zile ocean road
HawajanipaTuombee itakua nzuri. Yes pale Ocean Road ndio ofisi ata mi nilienda kulipia pale pale.
Karatasi washakupa?
Kuliko kununua Singapore bora uende kwenye yadi za hapa hapa bongoWewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Singapore kuna Subaru jamaa aliagiza kwa sasa anajuta vilivyo 😂Wewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Hahaaa.....hao jamaaWakuu natumai mu wazima!
Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.
Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.
Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.
Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.
Asanteni wakuu.