92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
wabongo kwenye swala la ufuatiliaji na kusoma ni ziro huenda mleta mada kaona alfad kitonga kaishobokea bila kuangalia matatizo ya gari na kama kitu hujua wafuate wajuzi wa mambo utapata muongozo bora sana. ungeenda be foward ofisi zao zipo na wanakupa uahirikiano safi tu....
wadau tupunguze kununua gari za bei nafuu na zilizo kimbia kilomita nyingi
wadau tupunguze kununua gari za bei nafuu na zilizo kimbia kilomita nyingi