Beach ya Ununio kunafanyika uchafu mpaka kwa Watoto wadogo

Beach ya Ununio kunafanyika uchafu mpaka kwa Watoto wadogo

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Tunapoendelea na sakata la mashoga na mambo mengine yanayotia aibu na kinyaa, wazazi mnaoruhusu watoto wenu wa kike na wa kiume kwenda Ununio Beach wanafanya uchafu kul, kuweni makini lindeni watoto wenu. Maana usitegemee serikali ije ikulindie Serikali itapiga soga la siasa tu lakini pale kuna uchafu sana.
 
Mimi ni muumini wa Ununuo, kupumzika, kwa miaka yangu hii inayoenda 50, sijawahi ona anything out of ordinary, labda kusikia hadithi za Beach boys.

Kwa kifupi, mji wa Dar es salaam kwa ujumla wake sio mzuri kwa watoto, nipo makini sana na wanangu Wanaendaje wanarudije na je wanapata maitaji yao?

Chunga sana kumuacha mtoto wa kike nila maitaji yake ya msingi, huu mji haufai kabisa kwa maana hiyo, ngumu sana.
 
Tunapoendelea na sakata la mashoga na mambo mengine yanayotia aibu na kinyaa, wazazi mnaoruhusu watoto wenu wa kike na wa kiume kwenda Ununio Beach wanafanya uchafu kul, kuweni makini lindeni watoto wenu. Maana usitegemee serikali ije ikulindie Serikali itapiga soga la siasa tu lakini pale kuna uchafu sana.
Mkuu ni uchafu gani huo unaofanyika beach ya ununio?? Unaweza kuwa specific kidogo? Sisi ni wakazi wa huku na sijawahi kusikia story yoyote mbaya kama unavyoelezea wewe hapa.. unaweza kuelezea zaidi tafadhali
 
Tunapoendelea na sakata la mashoga na mambo mengine yanayotia aibu na kinyaa, wazazi mnaoruhusu watoto wenu wa kike na wa kiume kwenda Ununio Beach wanafanya uchafu kul, kuweni makini lindeni watoto wenu. Maana usitegemee serikali ije ikulindie Serikali itapiga soga la siasa tu lakini pale kuna uchafu sana.
Tafadhali tuwalinde watoto wetu na ushenzi mkubwa uliopo!
 
Kiujumla waafrika tumetawaliwa na Wazungu kila idara miaka 60 ya uhuru wa Mwafrika hatujaweza kurejesha Uafrika wetu hata Kwa mambo madogo kabisa kama maadili.

Siku hizi mpaka vitoto vya Chekechea vinatumiwa kwenye Biashara za mashule na kuchangishwa fedha kwenda Beach .
Kule vinajengewa fikra na Mawazo ya kupenda starehe . Vinakua na akili hiyo mpaka wanamaliza vyuo. Wakipewa ofisi wanawaza muda wa kazi uishe wakafanye starehe. Wakiingia kwenye ndoa wanawaza starehe . Fedha hazitoshi wanajiingiza kwenye vitendo viovu.

Hivi mtoto wa miaka Saba ambaye akiwa nyumbani anakatazwa kuwachungulia wazazi wakiwa wanaoga au wazazi kujifunika ili watoto wasimwangalie mama mapaja au baba akiwa amevaa boxer lakini shule inawachukua inawapeleka beach kuwaona mpaka Babu zao na bibi zao wakiwa uchi . Hapo maadili yatatoka wapi.

Kuna viongozi wanasema eti maadili yanapotea Kwa sababu watoto wanalala Chumba kimoja na wazazi, wanasahau kuwa siku hizi shule hasa za Binafsi hua zinatafuta pesa kijanja Kwa kuwapa watoto muda wa kwenda Beach ambapo Kuna matendo yasiyofaa wakati Mwingine yanayofanywa na watu kutoka nje na hata Walevi kuona kuwa ni starehe na uzungu.Watoto wanaiga matendo hayo.

Mtoto wa kike nyumbani anakatazwa kuiga na watoto wa kiume lakini akifika shuleni anapelekwa beach akaruke ruke kwenye maji na wavulana akiwa amevaa kichupi.Aibu ya mtoto wa kike itatoka wapi? Mwanamke akikosa aibu hawezi kujizuia Tena na kumkataa mwanaume.

Halikadhalika watoto wa kiume wanaogelea na kuruka ruka wakiwa na vichupi huku wakiwa wanagusana makalio . Sio ustarabu. Kwa Nini watu wanapenda fedha na kuharibu jamii kitaasisi .
Kila mzazi aachwe apeleke mtoto wake beach Mwenyewe na sio kulazimisha waende watoto mia Tano Kwa wakati mmoja hata usimamizi unakua mdogo.

Kwa Nini wasiwapeleke wakaangalia jinsi Kiwanda Cha Azam kinavyotengeneza lambamba au hata muhimbili wakaangakie madaktari wanavyohudumia wagonjwa ili akili zao ziwe na shauku ya mambo mazuri.
Watoto wengi wanapenda kuwa Walimu na askari Kwa sababu ndio wanaowaona wakiwa wanatoa huduma Kwa jamii kumbe Kuna mambo mengi za kujifunza na kukua nayo vichwani mwao.

Waende siku nyingine Kariakoo Kwa wafanyabiashara wajifunze kuwa kumbe nguo wanazovaa Kwa wengine ni biashara ya kuuza na kupata Fedha. Watembelee hata Kiwanja Cha Ndege waone kumbe ndege Inaendeshwa na rubani na rubani ni kazi na inasomewa .

Yako mambo Chungu nzima ya kufundisha watoto wetu na kuona Kwa vitendo lakini sio ujinga wa kwenda kukaa uchi beach kwenye Karne hii ambayo Kizazi Cha Mwafrika ndicho kinacholengwa kipotee na kisiwe na wataalamu wenye uwezo wa kujikomboa.
Waafrika tuamke ,vinginevyo tutatawaliwa mpaka mwisho wa Dunia .

Akatokea Mzungu akasema anataka ngozi ya mtu Mweusi Kwa fedha nyingi ni hakika waafrika tutauana sana mana kila mmoja anatafuta pesa za kula Bata na sio kuendeleza jamii na kizazi Cha mwafrika. Tunakimbilia mambo ya hovyo Kwa dhana ya starehe na ujanja.
 
Chunga sana kumuacha mtoto wa kike nila maitaji yake ya msingi, huu mji haufai kabisa kwa maana hiyo, ngumu sana.

Hata wa kiume tunawahonga wenyewe kabla hawajahongwa huko nje [emoji119]

Nimekumbuka nilisoma chuo flani cha ghorofa ya sita, tuna share jengo na Bank flani kubwa, kuna vijana wa kiume walikuwa wanaringishia kupewa offer za lunch na banker flani hivi!
 
Hata wa kiume tunawahonga wenyewe kabla hawajahongwa huko nje [emoji119]

Nimekumbuka nilisoma chuo flani cha ghorofa ya sita, tuna share jengo na Bank flani kubwa, kuna vijana wa kiume walikuwa wanaringishia kupewa offer za lunch na banker flani hivi!

"Hata wa kiume tunawahonga wenyewe kabla hawajahongwa huko nje
emoji119.png
"

Unaona umeongea kitu cha tofauti? Mimi mara kibao nawasaidia watoto bila malengo yeyote mabaya.

Basi tu that you are rott
 
Back
Top Bottom