Beach ya Ununio kunafanyika uchafu mpaka kwa Watoto wadogo

Beach ya Ununio kunafanyika uchafu mpaka kwa Watoto wadogo

Tunapoendelea na sakata la mashoga na mambo mengine yanayotia aibu na kinyaa, wazazi mnaoruhusu watoto wenu wa kike na wa kiume kwenda Ununio Beach wanafanya uchafu kul, kuweni makini lindeni watoto wenu. Maana usitegemee serikali ije ikulindie Serikali itapiga soga la siasa tu lakini pale kuna uchafu sana.

Asante kwa taarifa mirindimo
 
Wewe itakuwa husisi dar... utakuwa pale morogoro msamvu
inasemekana kuna mzungu masaki ana kiwanda cha ushoga tena haile selassie mm nimesikia mbagala. masaki nipo kila siku sijasikia na bodaboda hawana taarifa hiyo. Hiv kumn watu wa muhimu kwa taarifa kama bodaboda?. na mpaka leo hawajui hizo hABARI na wananibeba kila siku kunipeleka root zangu nza kiofisi... ukweli wa stori zile uko wap?
 
Kuna mada hapa Jf ilikuwa inazungumzia kuwa kawe beach huwa kuna pisi kali,nikafunga safari kutoka Singida hadi Dar nikaenda hiyo kawe beach sijaona pisi yeyote kali zaidi ya sura ngumu kama ongala mwisho wa siku nikajutia tu nauli yangu,mwingine akaniambia nenda Jangwani beach ile ya kulipa kiingilio Elfu 10 kwenda na huko hola hakuna pisi yeyote kali zaidi ya kununulishwa maji lita moja na nusu kwa shilling Elfu 4
 
Ushoga upo but is overrated there's sectret Ajenda wakati mnapamban na ushoga katika keyboard mtakuja shtuka watu wamewapiga gap point of no return
Serikali inafanya spinning. Mfatilie ushoga huku wao wanajipakulia Nyama zote easily like no hell
 
Tunapoendelea na sakata la mashoga na mambo mengine yanayotia aibu na kinyaa, wazazi mnaoruhusu watoto wenu wa kike na wa kiume kwenda Ununio Beach wanafanya uchafu kul, kuweni makini lindeni watoto wenu. Maana usitegemee serikali ije ikulindie Serikali itapiga soga la siasa tu lakini pale kuna uchafu sana.
Kweli kabisa haya maeneo mie nilishapiga threesome tatu hapo beach na pia kuna wana wanasodoma na gomorana hapo.
 
Sure Mkuu upo Sahihi waache wawape watoto wa kike Uhuru na wawalinde watoto wa kiume majibu watayapata Muda sio mrefu
inasemekana kuna mzungu masaki ana kiwanda cha ushoga tena haile selassie mm nimesikia mbagala. masaki nipo kila siku sijasikia na bodaboda hawana taarifa hiyo. Hiv kumn watu wa muhimu kwa taarifa kama bodaboda?. na mpaka leo hawajui hizo hABARI na wananibeba kila siku kunipeleka root zangu nza kiofisi... ukweli wa stori zile uko wap?
 
udhibiti wa taarifa tu. Na udhibiti huu ujikite zaid ngaz ya influencers au public figures... hiv mtu kama Mwamposa azungumzie ushoga kila siku wiki nzima unajua habari hiz zitaenea na kuishi kwa muda gan?
Tena ndo wanaongea kila siku, sio kanisani wala misikitini.
 
Ununio beach ⛱️,kiboko wiki iliyopita nimegonga demu Pale karibu na freegate bar, nilimpeleka Sehemu Fulani hivi Kuna kigorofa Cha miti nikamgongea huko goli 3,
 
Tunapoendelea na sakata la mashoga na mambo mengine yanayotia aibu na kinyaa, wazazi mnaoruhusu watoto wenu wa kike na wa kiume kwenda Ununio Beach wanafanya uchafu kul, kuweni makini lindeni watoto wenu. Maana usitegemee serikali ije ikulindie Serikali itapiga soga la siasa tu lakini pale kuna uchafu sana.
Halafu bichiboizi wakikununia utalalamika.
 
Kiujumla waafrika tumetawaliwa na Wazungu kila idara miaka 60 ya uhuru wa Mwafrika hatujaweza kurejesha Uafrika wetu hata Kwa mambo madogo kabisa kama maadili.

Siku hizi mpaka vitoto vya Chekechea vinatumiwa kwenye Biashara za mashule na kuchangishwa fedha kwenda Beach .
Kule vinajengewa fikra na Mawazo ya kupenda starehe . Vinakua na akili hiyo mpaka wanamaliza vyuo. Wakipewa ofisi wanawaza muda wa kazi uishe wakafanye starehe. Wakiingia kwenye ndoa wanawaza starehe . Fedha hazitoshi wanajiingiza kwenye vitendo viovu.

Hivi mtoto wa miaka Saba ambaye akiwa nyumbani anakatazwa kuwachungulia wazazi wakiwa wanaoga au wazazi kujifunika ili watoto wasimwangalie mama mapaja au baba akiwa amevaa boxer lakini shule inawachukua inawapeleka beach kuwaona mpaka Babu zao na bibi zao wakiwa uchi . Hapo maadili yatatoka wapi.

Kuna viongozi wanasema eti maadili yanapotea Kwa sababu watoto wanalala Chumba kimoja na wazazi, wanasahau kuwa siku hizi shule hasa za Binafsi hua zinatafuta pesa kijanja Kwa kuwapa watoto muda wa kwenda Beach ambapo Kuna matendo yasiyofaa wakati Mwingine yanayofanywa na watu kutoka nje na hata Walevi kuona kuwa ni starehe na uzungu.Watoto wanaiga matendo hayo.

Mtoto wa kike nyumbani anakatazwa kuiga na watoto wa kiume lakini akifika shuleni anapelekwa beach akaruke ruke kwenye maji na wavulana akiwa amevaa kichupi.Aibu ya mtoto wa kike itatoka wapi? Mwanamke akikosa aibu hawezi kujizuia Tena na kumkataa mwanaume.

Halikadhalika watoto wa kiume wanaogelea na kuruka ruka wakiwa na vichupi huku wakiwa wanagusana makalio . Sio ustarabu. Kwa Nini watu wanapenda fedha na kuharibu jamii kitaasisi .
Kila mzazi aachwe apeleke mtoto wake beach Mwenyewe na sio kulazimisha waende watoto mia Tano Kwa wakati mmoja hata usimamizi unakua mdogo.

Kwa Nini wasiwapeleke wakaangalia jinsi Kiwanda Cha Azam kinavyotengeneza lambamba au hata muhimbili wakaangakie madaktari wanavyohudumia wagonjwa ili akili zao ziwe na shauku ya mambo mazuri.
Watoto wengi wanapenda kuwa Walimu na askari Kwa sababu ndio wanaowaona wakiwa wanatoa huduma Kwa jamii kumbe Kuna mambo mengi za kujifunza na kukua nayo vichwani mwao.

Waende siku nyingine Kariakoo Kwa wafanyabiashara wajifunze kuwa kumbe nguo wanazovaa Kwa wengine ni biashara ya kuuza na kupata Fedha. Watembelee hata Kiwanja Cha Ndege waone kumbe ndege Inaendeshwa na rubani na rubani ni kazi na inasomewa .

Yako mambo Chungu nzima ya kufundisha watoto wetu na kuona Kwa vitendo lakini sio ujinga wa kwenda kukaa uchi beach kwenye Karne hii ambayo Kizazi Cha Mwafrika ndicho kinacholengwa kipotee na kisiwe na wataalamu wenye uwezo wa kujikomboa.
Waafrika tuamke ,vinginevyo tutatawaliwa mpaka mwisho wa Dunia .

Akatokea Mzungu akasema anataka ngozi ya mtu Mweusi Kwa fedha nyingi ni hakika waafrika tutauana sana mana kila mmoja anatafuta pesa za kula Bata na sio kuendeleza jamii na kizazi Cha mwafrika. Tunakimbilia mambo ya hovyo Kwa dhana ya starehe na ujanja.
Umenena halisia KAKA.
 
Kiujumla waafrika tumetawaliwa na Wazungu kila idara miaka 60 ya uhuru wa Mwafrika hatujaweza kurejesha Uafrika wetu hata Kwa mambo madogo kabisa kama maadili.

Siku hizi mpaka vitoto vya Chekechea vinatumiwa kwenye Biashara za mashule na kuchangishwa fedha kwenda Beach .
Kule vinajengewa fikra na Mawazo ya kupenda starehe . Vinakua na akili hiyo mpaka wanamaliza vyuo. Wakipewa ofisi wanawaza muda wa kazi uishe wakafanye starehe. Wakiingia kwenye ndoa wanawaza starehe . Fedha hazitoshi wanajiingiza kwenye vitendo viovu.

Hivi mtoto wa miaka Saba ambaye akiwa nyumbani anakatazwa kuwachungulia wazazi wakiwa wanaoga au wazazi kujifunika ili watoto wasimwangalie mama mapaja au baba akiwa amevaa boxer lakini shule inawachukua inawapeleka beach kuwaona mpaka Babu zao na bibi zao wakiwa uchi . Hapo maadili yatatoka wapi.

Kuna viongozi wanasema eti maadili yanapotea Kwa sababu watoto wanalala Chumba kimoja na wazazi, wanasahau kuwa siku hizi shule hasa za Binafsi hua zinatafuta pesa kijanja Kwa kuwapa watoto muda wa kwenda Beach ambapo Kuna matendo yasiyofaa wakati Mwingine yanayofanywa na watu kutoka nje na hata Walevi kuona kuwa ni starehe na uzungu.Watoto wanaiga matendo hayo.

Mtoto wa kike nyumbani anakatazwa kuiga na watoto wa kiume lakini akifika shuleni anapelekwa beach akaruke ruke kwenye maji na wavulana akiwa amevaa kichupi.Aibu ya mtoto wa kike itatoka wapi? Mwanamke akikosa aibu hawezi kujizuia Tena na kumkataa mwanaume.

Halikadhalika watoto wa kiume wanaogelea na kuruka ruka wakiwa na vichupi huku wakiwa wanagusana makalio . Sio ustarabu. Kwa Nini watu wanapenda fedha na kuharibu jamii kitaasisi .
Kila mzazi aachwe apeleke mtoto wake beach Mwenyewe na sio kulazimisha waende watoto mia Tano Kwa wakati mmoja hata usimamizi unakua mdogo.

Kwa Nini wasiwapeleke wakaangalia jinsi Kiwanda Cha Azam kinavyotengeneza lambamba au hata muhimbili wakaangakie madaktari wanavyohudumia wagonjwa ili akili zao ziwe na shauku ya mambo mazuri.
Watoto wengi wanapenda kuwa Walimu na askari Kwa sababu ndio wanaowaona wakiwa wanatoa huduma Kwa jamii kumbe Kuna mambo mengi za kujifunza na kukua nayo vichwani mwao.

Waende siku nyingine Kariakoo Kwa wafanyabiashara wajifunze kuwa kumbe nguo wanazovaa Kwa wengine ni biashara ya kuuza na kupata Fedha. Watembelee hata Kiwanja Cha Ndege waone kumbe ndege Inaendeshwa na rubani na rubani ni kazi na inasomewa .

Yako mambo Chungu nzima ya kufundisha watoto wetu na kuona Kwa vitendo lakini sio ujinga wa kwenda kukaa uchi beach kwenye Karne hii ambayo Kizazi Cha Mwafrika ndicho kinacholengwa kipotee na kisiwe na wataalamu wenye uwezo wa kujikomboa.
Waafrika tuamke ,vinginevyo tutatawaliwa mpaka mwisho wa Dunia .

Akatokea Mzungu akasema anataka ngozi ya mtu Mweusi Kwa fedha nyingi ni hakika waafrika tutauana sana mana kila mmoja anatafuta pesa za kula Bata na sio kuendeleza jamii na kizazi Cha mwafrika. Tunakimbilia mambo ya hovyo Kwa dhana ya starehe na ujanja.
Ningekuwa na mamlaka ningekupa Wizara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waeleze wakicheza watavuna mabwabwa wa kike na kiume huko beach. Mtoto chini ya miaka 18 ni wa kuangalia sana.
Sahihi kiongozi, kwangu Mimi mtoto Kwa baba hajui, even 18+ close observation on his/her pace is on high demand.
 
Tunapoendelea na sakata la mashoga na mambo mengine yanayotia aibu na kinyaa, wazazi mnaoruhusu watoto wenu wa kike na wa kiume kwenda Ununio Beach wanafanya uchafu kul, kuweni makini lindeni watoto wenu. Maana usitegemee serikali ije ikulindie Serikali itapiga soga la siasa tu lakini pale kuna uchafu sana.
uchafu gani mbona mi sijaona uchafu pale ununio,
 
Kiujumla waafrika tumetawaliwa na Wazungu kila idara miaka 60 ya uhuru wa Mwafrika hatujaweza kurejesha Uafrika wetu hata Kwa mambo madogo kabisa kama maadili.

Siku hizi mpaka vitoto vya Chekechea vinatumiwa kwenye Biashara za mashule na kuchangishwa fedha kwenda Beach .
Kule vinajengewa fikra na Mawazo ya kupenda starehe . Vinakua na akili hiyo mpaka wanamaliza vyuo. Wakipewa ofisi wanawaza muda wa kazi uishe wakafanye starehe. Wakiingia kwenye ndoa wanawaza starehe . Fedha hazitoshi wanajiingiza kwenye vitendo viovu.

Hivi mtoto wa miaka Saba ambaye akiwa nyumbani anakatazwa kuwachungulia wazazi wakiwa wanaoga au wazazi kujifunika ili watoto wasimwangalie mama mapaja au baba akiwa amevaa boxer lakini shule inawachukua inawapeleka beach kuwaona mpaka Babu zao na bibi zao wakiwa uchi . Hapo maadili yatatoka wapi.

Kuna viongozi wanasema eti maadili yanapotea Kwa sababu watoto wanalala Chumba kimoja na wazazi, wanasahau kuwa siku hizi shule hasa za Binafsi hua zinatafuta pesa kijanja Kwa kuwapa watoto muda wa kwenda Beach ambapo Kuna matendo yasiyofaa wakati Mwingine yanayofanywa na watu kutoka nje na hata Walevi kuona kuwa ni starehe na uzungu.Watoto wanaiga matendo hayo.

Mtoto wa kike nyumbani anakatazwa kuiga na watoto wa kiume lakini akifika shuleni anapelekwa beach akaruke ruke kwenye maji na wavulana akiwa amevaa kichupi.Aibu ya mtoto wa kike itatoka wapi? Mwanamke akikosa aibu hawezi kujizuia Tena na kumkataa mwanaume.

Halikadhalika watoto wa kiume wanaogelea na kuruka ruka wakiwa na vichupi huku wakiwa wanagusana makalio . Sio ustarabu. Kwa Nini watu wanapenda fedha na kuharibu jamii kitaasisi .
Kila mzazi aachwe apeleke mtoto wake beach Mwenyewe na sio kulazimisha waende watoto mia Tano Kwa wakati mmoja hata usimamizi unakua mdogo.

Kwa Nini wasiwapeleke wakaangalia jinsi Kiwanda Cha Azam kinavyotengeneza lambamba au hata muhimbili wakaangakie madaktari wanavyohudumia wagonjwa ili akili zao ziwe na shauku ya mambo mazuri.
Watoto wengi wanapenda kuwa Walimu na askari Kwa sababu ndio wanaowaona wakiwa wanatoa huduma Kwa jamii kumbe Kuna mambo mengi za kujifunza na kukua nayo vichwani mwao.

Waende siku nyingine Kariakoo Kwa wafanyabiashara wajifunze kuwa kumbe nguo wanazovaa Kwa wengine ni biashara ya kuuza na kupata Fedha. Watembelee hata Kiwanja Cha Ndege waone kumbe ndege Inaendeshwa na rubani na rubani ni kazi na inasomewa .

Yako mambo Chungu nzima ya kufundisha watoto wetu na kuona Kwa vitendo lakini sio ujinga wa kwenda kukaa uchi beach kwenye Karne hii ambayo Kizazi Cha Mwafrika ndicho kinacholengwa kipotee na kisiwe na wataalamu wenye uwezo wa kujikomboa.
Waafrika tuamke ,vinginevyo tutatawaliwa mpaka mwisho wa Dunia .

Akatokea Mzungu akasema anataka ngozi ya mtu Mweusi Kwa fedha nyingi ni hakika waafrika tutauana sana mana kila mmoja anatafuta pesa za kula Bata na sio kuendeleza jamii na kizazi Cha mwafrika. Tunakimbilia mambo ya hovyo Kwa dhana ya starehe na ujanja.
Mungu akubariki kwa andiko bora kabisa la kuanza wiki.
Kongole sana
 
Back
Top Bottom