Beach ya Ununio kunafanyika uchafu mpaka kwa Watoto wadogo

"Hata wa kiume tunawahonga wenyewe kabla hawajahongwa huko nje "

Unaona umeongea kitu cha tofauti? Mimi mara kibao nawasaidia watoto bila malengo yeyote mabaya.

Basi tu that you are rott
I don't need no stranger giving things to my kids.
 
Hata wa kiume pia.
 
Hii comment ilifaa iwe na uzi wake kabisa.
 
Wazazi walezi hakikisha haipiti nusu saa mwanao hujamtia machoni km upo nyumbani
Mkague
Ongea nae
Mfanye rafiki
Mfundishe dini(Kwa wenye dini )
Mueleze madhara ya vitendo viovu
Hili ndilo muhimu sanaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna ishakua fashion, sio ke wala me kupenda offer na kupelekwa hotel nzurii.
 
Alafu kinachosikitisha ni jinsi bunge na wabunge walivyolibeba hili swala juu juu na kuanza kubwataa isee inasikitisha sana. Ni kama hatujielewi vile.
mana kwa moral codes za muafrika hiki kitu hakiwez kukua kwa kasi ile inayozungumzwa. hata Asia hii kes ya ushoga kuchimbike kwelikweli.. bulshit this kinda talks.. ni ujinga na kukosa mazungumzo mengine
 
Picha mnato au mjongeo inaleta hamasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…