Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

Michango mingi humu siyo ya kilichoongelewa na mdogo mtu bali ni maisha yao wao ya kila siku ndiyo wanayoitumbukiza kwenye wanachoita kuchangia.
Mimi pia nashangaa! Nimejiuliza ina maana wote tumeangalia video hizi hizi ama kuna nyingine?

Kinachosemwa na huyo dada ni tofauti kabisa na yanayojadiliwa hapa!

1) Walipata upako wakiwa wadogo kutoka kwa mwanamke wasiemjua.

2) Waliaminishwa Mrema ndio Nabii Eliya.

3)Waliingizwa katika Ibada ambayo walikuja kutambua baadae (hivi karibuni) kwamba ni tofauti kabisa na Mungu waliyedhani wao wanamuabudu.

4)Mama yao amepatwa na matatizo mpaka ya Afya ya akili kwa miaka yote hiyo tangu walipoingia maagano na huyo Mwanamke (stranger) aliyewapa “upako” mabinti zake.

5)Walikutana na huyo Mwanamke baada ya kufukuzwa katika makazi yao ya family na ndugu wa baba yao.

Sasa, ambacho mnajadili hapa kati ya hizo keys ni kipi?!

Beatrice kajaribu kufungua Pandora’s box….
 
Wanataka uwape pesa watumie tu, halafu wakipata zao wanapiga kimya. Siku hizi ni mwendo wa kuchinjia baharini tu qumanyoko
 
Nani alikuambia kuzini maana yake ni kutokufunga ndoa, tatizo mnaleta tafsiri zenu za vichochoroni. Ndoa zimeanza kufungwa lini na hiyo dhambi ikaanza lini
 
Tunza wazazi wako
 
Pesa walimpa mtaji au walimkopesha? Waafrica sisi hamnazo kweli unaenda kwenye media kulilia hela za mtu mwingine
Yuko sahihi maana anamkumbusha kile Mkristo anachopaswa kukifanya. Kuna andiko linasema Mkristo asiyewapenda wa kwao ni mtu mbaya sana (pengine mpagani ana nafuu).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…