Hata huko huko Kwa ground, wanasema Yule Binti anayeishi na Martha ambaye Martha anamwita Mwanae, wanasagana na Martha...!Huko kwa ground inasemekana huyo na Martha sio ndugu wa Damu,wananzengo wanaenda mbele zaidi kuwa huyo Beatrice kavunja ndoa ya Martha baada ya kumpa uroda Mume wa Martha na mpaka Leo mwamba anakili kuwa anampenda Beatrice.
Naomba unipe ABC rafiki yangu nimepitwa hapa, kwani kafanyaje huyu Bite? nasikia na Martha kawa msagaji ikoje hiyoHao ni ndugu wa damu mkumbuke
Ndio.ni kama USHOGA pia.Nasikia wakianza kusagana inakuwa uraibu...
Inasikitisha sana...Ndio.ni kama USHOGA pia.
Mwanamke anapoteza affection na wanaume.anakuwa anapenda wanawake wenzie tu.
Hao ni mtu na mdogo wake,tumbo moja...sasa sijui Kuna Siri gani katikati ya ugomvi wao...maana Beatrice anamtangazia vibaya dada yake,Mara hamjali mama yao,Tena Mara anasagana na Joan...Mara kanunua gari million 400 huku mama yake hajawahi mpa hata mia...Naomba unipe ABC rafiki yangu nimepitwa hapa, kwani kafanyaje huyu Bite? nasikia na Martha kawa msagaji ikoje hiyo
Chizi wewe [emoji23]Hasira za nini? Analilia pesa za nani?
Kama wewe ndio hayo mapepo shindwa kwa jina la Yesu
ashamtafuna ukiona hivyoHao ni mtu na mdogo wake,tumbo moja...sasa sijui Kuna Siri gani katikati ya ugomvi wao...maana Beatrice anamtangazia vibaya dada yake,Mara hamjali mama yao,Tena Mara anasagana na Joan...Mara kanunua gari million 400 huku mama yake hajawahi mpa hata mia...
Na kinachostaajabisha exmume wa Martha Baraka yupo upande wa Shemeji yake Beatrice
Naona bado hujawajua manabii wa kike kwa sababu wewe sio nabii wa kiume , ila nisikukatishe tamaa endelea kukavutia kwako na siku kakikupa unabii kuwa unapaswa uhame kwa kwa shemeji ako kabla hujakaoa ndio utajua hako kanabii sio saizi yako 😂😂Nitakaweza,kanifuate huku nje ya Tz
Amewezaje kujitoa, wakat inasemekana ukiingia huko kujitoa ni ngumuYaan ni balaa, Beatrice anakili kwamba Martha anaimba nyimbo za kumtukuza Mungu wa Freemasonic na siyo huyu Mungu tunaemtumikia...anasema anauhakika na hilo maana wakiingia wote na dada yake,yeye kwa sasa kajitoa ila dada yake bado
Naona bado hujawajua manabii wa kike kwa sababu wewe sio nabii wa kiume , ila nisikukatishe tamaa endelea kukavutia kwako na siku kakikupa unabii kuwa unapaswa uhame kwa kwa shemeji ako kabla hujakaoa ndio utajua hako kanabii sio saizi yako 😂😂
Kwa maelezo yake...na ndiyo maana watu wanamwita mwongo na mwenye wivu kwa nduguyeAmewezaje kujitoa, wakat inasemekana ukiingia huko kujitoa ni ngumu
Sasa pale sijui nani ni dume.. maana wote warembo.Inasikitisha sana joan kufanya ufirauni na martha.
Msanii wangu wa Mwisho alikuwa ni Shusho..Gospel music industry ya Tz asilimia 90 imeshavamiwa na Ibilisi. Ndio maana niliacha kuwafatilia toka 2010. Gospel zangu ni Gaither vocal Band, Doen Moen, Carrie Underwood, Cece winans. Period.
Wapumbavu sana kwakweli ..Sasa pale sijui nani ni dume.. maana wote warembo.
Wewe jieleze uwezavyo ila nimeshakupa angalizo kanabii kakikutolea unabii usije rusha ngumi 🤣Chifu kwa shemeji tena,nje ya wazazi wangu sijawai kukaa kwa mtu...then miaka yangu na mtoto anaingia form two...
Halafu acha tabia za kuomba omba namba hapa jf usije tumiwa namba za mganga wa kienyeji...vp una namba yake ,nifanye Nako maombi? Na Mimi pia ni mtalaka kama yeye,perhaps tuombeane nae
Aliolewa lini?Kaachika tayari.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu alijichanganya kwa yule grandmaster wa kisongo akaporwa nyota akapewa gari [emoji1787][emoji23]