Beatrice Mwaipaja

Acha uongo Kila comment unareply wewe! Ingekuwa ni Chawa ungeshaachia page ya tatu tu.

Yawezekana asiwe yeye. Kujibu kila comment ni wajibu wake as muanzisha uzi, na pia mwanzilishi wa mjadala akishiriki kikamilifu inasaidia Uzi wake kupata mileage.

-Kaveli-
 
Yawezekana asiwe yeye. Kujibu kila comment ni wajibu wake as muanzisha uzi, na pia mwanzilishi wa mjadala akishiriki kikamilifu inasaidia Uzi wake kupata mileage.

-Kaveli-
Huyo nae anataka kuzua taharuki tu,,anasema nilitakiwa niutelekeze Uzi page ya tatu😥😥
 
Hakunaga kama R Muhando hapa nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…