raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Fanya kama inavyotakiwa kijana mpeleke kimataifa 😄hapana aisee ntajiskia vibaya😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kama inavyotakiwa kijana mpeleke kimataifa 😄hapana aisee ntajiskia vibaya😂
😆😆😆😆😆😆😆lishangazi la kienyeji hilo anaonekana ni mtamu😋
hahaa, pepo tokaa
Wangoni tuko buzzy na nyimbo za ki asili, afu hatujazamia sana kiimani/diniSidhani kama wanawazidi wangoni kuimba, ila huwa sijui kwann wao wangoni hawatoi nyimbo za injili
Wangoni tuko buzzy na nyimbo za ki asili, afu hatujazamia sana kiimani/dini
Alikuwa anakazwa na mkuu wazili wa zamaniShusho snithc kinomaa.. dk sifuri anakuzunguka anachukua nafasi yake.. Tamaa sana yule dada.. Kuna issue moja ilikuwa Dubai alichofanya [emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061]...
[emoji120][emoji120]Ila mnaimba sio mchezo..
Siku mkihamia nyimbo za dini, mtatisha balaa...
Wakristo Wamebarikiwa sana.Jamani dada unajua kuimba Tenzi za rohoni mpaka unajua tena, yaani unaziimba Kwa utulivu wa kipekee sana, huna kiranga cha kubadilisha tune wala Nini, unatoa vitu original kabisaa, yaani kila wimbo ulioimba umetendea Haki...
Naomba upokee tu maua Yako ungali hai, Mungu kakujalia uzuri wa Sura, Sauti na Utulivu....
Umenipigia
1.Kombolewa
2.Kwa Calvary
3.Kumtegemea Mwokozi
4.Yesu kwetu ni rafiki
5.Mwana wa Mungu
6.Kijito Cha utakaso
Au niseme tu umeimba tenzi yote Kwa viwango vya juu sana....Barikiwa sana Binti wa Mwaipaja
View attachment 2725742
Mhh, amemuacha lini?Mimi Shusho ndo ananiumiza kumuacha yule mume wake mtu mzima..kha..
HakikaYaani Mimi ni mpenzi sana wa tenzi,Sasa Kuna waimbaji huwa wananikera kutuunga tune mpya hazinibariki nataka tunes nilizoimba udogoni na mama yangu na bibi yangu, Sasa huyu ndio naenda nae sawa......Mimi alinimaliza pale kwenye "ni salama rohoni mwangu"
Analiwa na mwamposaJamani dada unajua kuimba Tenzi za rohoni mpaka unajua tena, yaani unaziimba Kwa utulivu wa kipekee sana, huna kiranga cha kubadilisha tune wala Nini, unatoa vitu original kabisaa, yaani kila wimbo ulioimba umetendea Haki...
Naomba upokee tu maua Yako ungali hai, Mungu kakujalia uzuri wa Sura, Sauti na Utulivu....
Umenipigia
1.Kombolewa
2.Kwa Calvary
3.Kumtegemea Mwokozi
4.Yesu kwetu ni rafiki
5.Mwana wa Mungu
6.Kijito Cha utakaso
Au niseme tu umeimba tenzi yote Kwa viwango vya juu sana....Barikiwa sana Binti wa Mwaipaja
View attachment 2725742
Muda sasa...hata zaidi ya2 yrs nwMhh, amemuacha lini?