Beberu wa Waingereza hapa amenibadilisha mawazo na kunikumbusha kuwa kila taifa lazima liwe na mila zake

Beberu wa Waingereza hapa amenibadilisha mawazo na kunikumbusha kuwa kila taifa lazima liwe na mila zake

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nilikuwa miongoni mwa watu ambao wanaupiga vita mwenge wa uhuru na baadhi ya mila zetu za kitaifa, lakini huyu beberu wa waingereza hapa amenibadilisha mawazo na kunikumbusha kuwa kila taifa lazima liwe na mila zake hata kama hazina maana kwa wakati huu.
 
Nilikuwa miongoni mwa watu ambao wanaupiga vita mwenge wa uhuru na baadhi ya mila zetu za kitaifa, lakini huyu beberu wa waingereza hapa amenibadilisha mawazo na kunikumbusha kuwa kila taifa lazima liwe na mila zake hata kama hazina maana kwa wakati huu.


Mkuu hapa ndio umeona njia sahihi ya kutetea ule ushirikina uitwao mwenge wa uhuru?
 
Mkuu hapa ndio umeona njia sahihi ya kutetea ule ushirikina uitwao mwenge wa uhuru?
Beberu kwa wazungu walioitawala dunia wakiwemo sisi na Marekani je?, au ungependa tuwe na jogoo badala ya mwenge?
 
Mkuu hapa ndio umeona njia sahihi ya kutetea ule ushirikina uitwao mwenge wa uhuru?
Mkuu tunaendelea kutawaliwa kwakuwa tunaziacha mila zetu. Ona hili taifa lililotawala dunia lakini wanaume wamevaa sketi kama wanawake, unaijua maana yake wewe?



Acha kabisa, kila atakaeachana na utamaduni wake ataiaga fahari ya dunia
 
Wakuu mnasemaje kuhusu hilo tukio?
IMG-20220915-WA0048.jpg
 
Hata wao Wana mila zao. Dini waliotuletea haihusiki hapo
 
Acha propaganda za FACEBOOK kwenye Kasri Kuna wanyama wengi wanafugwa na Wana majukumu Yao Kuna Mbwa ambao wengine nikama maaskari kuna Farasi, Paka Kuna Ndege, Nyuki fuatilia BBC life style na BBC news utajua mengi huyo mbuzi ni utamaduni wa enzi Wanatumika kama Askari kwenye ceremonies
 
Mbuzi ni beberu au tetea? Tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom