Beberu wa Waingereza hapa amenibadilisha mawazo na kunikumbusha kuwa kila taifa lazima liwe na mila zake

Beberu wa Waingereza hapa amenibadilisha mawazo na kunikumbusha kuwa kila taifa lazima liwe na mila zake

IMG-20220915-WA0043.jpg
Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.

Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.

Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!
 
Nimemkumbuka sheikh yahya hussein na story za hizi secret societies
 
Hakuna kafara hapo!

Hao mbuzi ni maaskari kama unavyoona mbwa wa polisi au panya wategua mabomu.

Kuna kikosi kinawamiliki
wacha hizoo, kama ni askari huyo kwani ni lazima mwanaume na jeupe? achana na brain wash waliokufanyia, mbona huyo askari hatumuoni kwenye uwanja wa vita kule Ukraine, Falkland, Iraq, kwenye viwanja vya michezo akilinda?
 
View attachment 2358242Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.

Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.

Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!
Waingereza waliitawala dunia, na lugha (mila) yao inaendelea kuitawa dunia. Waingereza wanaamini kuwa uchawi wa hii familia ya kifalme ndio uliofanikisha jambo hili la kuwashindia vita. ndiyo maana hii familia inaheshimika mpaka kesho, inalishwa na kupewa kila kitu kutokana na uchawi wao huu. Ndio maana kila walipotawala walipiga vita uchawi na mila ili zisije kuudhuru uchawi wao.
 
View attachment 2358242Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.

Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.

Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!
Ni kwa ajili ya mila na desturi.

Ila, mila na desturi zao nzuri, za kwetu za kishirikina. AMA kweli sisi wajinga.

Tunaacha mila zetu, tunakamatia na kuzitetea mila zao.
 
Mkuu mbuzi na uteguaji wa mabomu imekaaje hiyo..?😂
We sema hiyo ni supu nitakuelewa!
Unajitahidi kumfariji, we mwambie tu kuwa yule ni mbuzi wa ushirikina(Mila) ambaye hutumika kuleta bahati kwenye familia ya kifalme.
 
Kitu PEKEE ambacho Watanganyika wanaweza kujivunia kuwa ni cha kwao ni muziki wa Singeli na kupaa kwa ungo(nacho ni cha kusadikika).
 
Kitu PEKEE ambacho Watanganyika wanaweza kujivunia kuwa ni cha kwao ni muziki wa Singeli na kupaa kwa ungo(nacho ni cha kusadikika).
mkoloni alipofika tu kwetu alikimbilia kuzinyonga mila na tamaduni zetu maana alifahamu mila, desturi na utamaduni ndizo nguvu na nguzo za kila mtu, kila familia, kila ukoo na kila taifa. Hizo ndizo anuani za mawasiliano kati yako, familia, ukoo, kabila, taifa na Mungu wao, ndio ufunguo wa kufungulia na kuingia nyumba ya Baba. Walihakikisha wanafuta anuani zetu za mawaziliano na Mungu wetu sisi na wakatubadilishia vitasa vya nyumba vya milango ya nyumba ya Mungu wakatupatia fungua za vitasa vyao feki. Ona, sisi walituambia ufunguo ni Yesu lakini wao ufunguo wao ni beberu mkubwa mweupe na mwenye pembe ndefu sana (tambiko) wakati sisi tuliyafuta matambiko yetu (funguo halisi) wakatupa funguo bandia (Yesu na Mohamed SWA) ambazo ni za watu na mataifa ya mashariki ya kati ya Uyahudi na Uarabuni ambayo fuhguo hizi zinafanyakazi vizuri tu ya kufungua mlango wa nyumba ya Baba yao, sisi kwetu zinagoma kabisa kufungua vitasa vyao feki. Mataifa yaliyogoma kuzipokea hizi fuguo za vitasa feki yanapiga hatua kama vile India na Hindu yao, China na nyoka wao, Nigeria na kwingine ambako mila zao zina nguvu sana. Mataifa ambayo hata vazi la taifa hawana wanavaa suliali na shati na kuchomekea na kufunga tai hata kama kuna joto kali ni wababaishaji tu wanaoibia wanawanchi mali zao na kwenda kuzificha kwa mabeberu tena.
 
mkoloni alipofika tu kwetu alikimbilia kuzinyonga mila na tamaduni zetu maana alifahamu mila, desturi na utamaduni ndizo nguvu na nguzo za kila mtu, kila familia, kila ukoo na kila taifa. Hizo ndizo anuani za mawasiliano kati yako, familia, ukoo, kabila, taifa na Mungu wao, ndio ufunguo wa kufungulia na kuingia nyumba ya Baba. Walihakikisha wanafuta anuani zetu za mawaziliano na Mungu wetu sisi na wakatubadilishia vitasa vya nyumba vya milango ya nyumba ya Mungu wakatupatia fungua za vitasa vyao feki. Ona, sisi walituambia ufunguo ni Yesu lakini wao ufunguo wao ni beberu mkubwa mweupe na mwenye pembe ndefu sana (tambiko) wakati sisi tuliyafuta matambiko yetu (funguo halisi) wakatupa funguo bandia (Yesu na Mohamed SWA) ambazo ni za watu na mataifa ya mashariki ya kati ya Uyahudi na Uarabuni ambayo fuhguo hizi zinafanyakazi vizuri tu ya kufungua mlango wa nyumba ya Baba yao, sisi kwetu zinagoma kabisa kufungua vitasa vyao feki. Mataifa yaliyogoma kuzipokea hizi fuguo za vitasa feki yanapiga hatua kama vile India na Hindu yao, China na nyoka wao, Nigeria na kwingine ambako mila zao zina nguvu sana. Mataifa ambayo hata vazi la taifa hawana wanavaa suliali na shati na kuchomekea na kufunga tai hata kama kuna joto kali ni wababaishaji tu wanaoibia wanawanchi mali zao na kwenda kuzificha kwa mabeberu tena.
Asiyekuelewa kwa andiko hili, ujue ana tatizo la mtindio wa Ubongo.
 
Back
Top Bottom