Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
[emoji23][emoji23][emoji23] unyama
Huna akili.Ngoja nifufue Sim-card yangu ya Tigo bila shaka yajayo yatafurahisha
Nitatumia ya kwakoHuna akili.
Kaamua kuifuta kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂Nitatumia ya kwako
Katoa boko kwa kuingia site zisizofaa kwenye pc ya officeKuna mtu anafukuzwa kazi kesho.. 🤣🤣
Unatumiwa link unabonyeza tu. Hafu tuseme ata two factors authentication hawana?Katoa boko kwa kuingia site zisizofaa kwenye pc ya office
Ila ukikamatwa unaning'inizwaVijana kama Hawa ni muhimu Kwa taifa letu,najiskia Raha sana kwa hili tukio