"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

Kwa jinsi wenye magari mnavyoringa ,mnaweza mkasababisha nikipata tu vipesa nikanunua ki-gari kabla hats ya kujenga. Nahisi mna pata raha sana.
Haaahaaa

Kuna raha ya ajabu sijapata ona
 
Nina mandinga mapyaaaaa
Kila mmoja nampaaaa

Unamjua aliyeimba hiyo mistari, kama unamjua mwambie Demu wako amtafute huyo mwimbaji.
 
Sasa kama huna nia ya kumpa,, unatueleza sisi ili iweje?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…