witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
HaaahaaaKwa jinsi wenye magari mnavyoringa ,mnaweza mkasababisha nikipata tu vipesa nikanunua ki-gari kabla hats ya kujenga. Nahisi mna pata raha sana.
Kuna raha ya ajabu sijapata ona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaahaaaKwa jinsi wenye magari mnavyoringa ,mnaweza mkasababisha nikipata tu vipesa nikanunua ki-gari kabla hats ya kujenga. Nahisi mna pata raha sana.
Nina mandinga mapyaaaaaWakuu,niko katka mtihan mkubwa mno, mi hua siwapi mademu zangu ndinga hata siku moja na kwanza ni mara chache nimemskia demu anaomba ndinga kwangu,
Sasa nina huyu demu ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile ,leo ananambia anaomba ndinga,et yaani nakujikausha kote huko sikuzote sijawahi endesha gari yako,..kiukwel mimi kuhusu swala la kumpa ndinga demu ni hua haiwezekani,bora nimpe dume mwenzangu, na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu, sio ushamba,ndo nilivyo, namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana.
Enzi hizo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakini imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki, sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
Niazime mimi mtunzaji.Ukiazimishisha gari lazma roho juu
Sijui kwanini watu wengi huwa si watunzaji wa vitu vya watu
U sound so...na vile mzoefu wa haya mambo presha itakua chiniNiazime mimi mtunzaji.
Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno, mi hua siwapi mademu zangu ndinga hata siku moja na kwanza ni mara chache nimemskia demu anaomba ndinga kwangu,
Sasa nina huyu demu ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile ,leo ananambia anaomba ndinga,et yaani nakujikausha kote huko sikuzote sijawahi endesha gari yako,..kiukwel mimi kuhusu swala la kumpa ndinga demu ni hua haiwezekani,bora nimpe dume mwenzangu, na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu, sio ushamba,ndo nilivyo, namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana.
Enzi hizo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakini imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki, sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.