St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
UmeukaliaHuyu ni dem mkuu.sio mke,so siwez fanya hvo,kwanza uchum wenyew ukowap
Umeona mkuu,na uchum huu saa hii alibonde zinitoke lak kadhaa ,hahah.hapana kwakwel,..bora anione kauzu tuu.freshUkimpa aki haribu hata taa au hata pancha ujue garama ni juu yako.
Hii inakera Sana.
Siwez Fanya ujinga huo.
Na bora uhusiano uishe
Naunga mkono hoja
√√√√√√√π√
Umeukalia.Huyu ni dem mkuu.sio mke,so siwez fanya hvo,kwanza uchum wenyew ukowap
Hahaha mkuu,kwanza mi niwe na range ili iweje,au prado,..hii ni 18mil car,ya kawaida tuu,ila ..hata uwe wew skup *****Ukiona mwanamke anataka kuazima gari ujuwe hio itakuwa Vitz. Lakini Prado au Range hata kupanda hupanda kwa heshima.
hahahakwa sababu umetuita wakuda utachangia mwenyewe
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji23][emoji28][emoji23]Ukiona mwanamke anataka kuazima gari ujuwe hio itakuwa Vitz. Lakini Prado au Range hata kupanda hupanda kwa heshima.
Anyhow...kwa umr wangu na background yangu kumilik toyota kwangu ni mandinga..hongera wew mwenye brands out of japan...Hiyo ndinga au mandinga ni aina gani?? Make kama ni Toyota hazina hadhi ya kuiywa ndinnga.. Toyota yoyote ile ni kijigari tu. hivyo kama umeombwa kijigari mpe tu akanyooshe mguu. Lakini kama ni NDINGA kweli usimpe hata kama ni ndugu yako.
Hahah,af sasa mim,nna madem weng bro,ungenifaham ungekuja toa ushahid hapa,nadhan hata hum jf wanafaham hilo,maana hua muwaz kuwaongelea madem zangu hum jf..hahah,..na hata sku1 siwez tafta dem hum mkuu,..mi nachkua madem instagram,na nna watom.ba kwel si utankuna aina nyingi za kutafuta totoz, usijali mkuu watakuja pm