"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

Inahitaji moyo sana kumuazima mtu gari yako hasa kama unaipenda sana gari yako na unaitunza katika matunzo ya hali ya juu. Sifanyagi huo mchezo ni bora nikupe pesa ya uber/taxi uende uendako kuliko kukuazima gari yangu.

Ukimpa aki haribu hata taa au hata pancha ujue garama ni juu yako.
Hii inakera Sana.
Siwez Fanya ujinga huo.
Na bora uhusiano uishe

Naunga mkono hoja
√√√√√√√π√
 
Inahitaji moyo sana kumuazima mtu gari yako hasa kama unaipenda sana gari yako na unaitunza katika matunzo ya hali ya juu. Sifanyagi huo mchezo ni bora nikupe pesa ya uber/taxi uende uendako kuliko kukuazima gari yangu.
Nashkuru sana mkuu,nilidhan niko peke yangu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mwombe umsindikize ktk hiyo mizunguko, hapo utaondoa utata na utaonyesha kujali zaidi.
 
Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Kwani mkuu kwani Passo ni kiasi gani mchukulie yake Baby naye awe anatumwagia maji machafu sisi wa Tz 11
 
Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Kama promotion ya maisha vile how umesoma hadi chuo na mengineyo vipi hujapata kazi.
 
Afu ikitokea kaharibu akija lazima ajichekeshe chekeshe[emoji28][emoji4][emoji28]

Utasikia bebi yani sjui hata huko bara barani kupoje.
Kuna mjinga kanigonga bahati mbaya hapo mbele pame bonyea na taa zima vunjika..
Kudaaa deki

Mbavu zake lazima kwangu aka mlete alo m'bamiza
 
Inahitaji moyo sana kumuazima mtu gari yako hasa kama unaipenda sana gari yako na unaitunza katika matunzo ya hali ya juu. Sifanyagi huo mchezo ni bora nikupe pesa ya uber/taxi uende uendako kuliko kukuazima gari yangu.

Hapo unakua umemaliza utata
Kila MTU aheshimu Mali ya mwenzie
Mapenzi mwisho kitandani
Kwenye gari sjui biashara huko hakunaga u bebi bebi kiboya
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Na uzee wangu huu sijawahi kusikia hii kwa kweli
Jf kuna story za aina aina kila wakati unalazimika kuongeza vipya
 
Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno,...mi hua siwap madem zangu ndinga hata sku1,..na kwanza ni mara chache nmemskia dem anaomba ndinga kwangu,

Sasa nna huyu dem ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile,..leo ananambia anaomba ndinga,et yaan nakujikausha kote huko skuzote sjawai endesha gar yako,..kiukwel mim kuhusu swala la kumpa ndinga dem ni hua haiwezekan,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.

Enz hzo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakin imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1

Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
Mwulize anaenda kumzungusha nani? Kwa masaa mangapi?
 
Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno,...mi hua siwap madem zangu ndinga hata sku1,..na kwanza ni mara chache nmemskia dem anaomba ndinga kwangu,

Sasa nna huyu dem ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile,..leo ananambia anaomba ndinga,et yaan nakujikausha kote huko skuzote sjawai endesha gar yako,..kiukwel mim kuhusu swala la kumpa ndinga dem ni hua haiwezekan,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.

Enz hzo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakin imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1

Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
Panama tu na Hali yako huko uliko. Tushirikishane swala Kama tunfanyeje siku ya Maandamano
 
Back
Top Bottom