Mgeni wa Mungu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 1,233
- 1,289
Huyu ni dem mkuu.sio mke,so siwez fanya hvo,kwanza uchum wenyew ukowap
Wewe una mandinga halafu unalalamika uchumi uko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni dem mkuu.sio mke,so siwez fanya hvo,kwanza uchum wenyew ukowap
Kama ule uzi kuna sehemu unasema upo COET, UDSM, alafu mbele kuna uzi unasema ulitamani kusoma UDSM Ila ukupata nafasi..Jf kuna,kesho utakuta hii ID inaomba ada ya shule
Hahahahahaaaa! Mkuu,umenivunja mbavu sana!mwambie aende kwa Ally Kiba ye anamandinga mapya na kila mmoja anampa
Mwanangu kumbe ww ni team fisi,ila uwe unakumbuka kukivisha kichwa cha chini kofia kabla hujaanza kugegeda tusijepoteza nguvu kazi ya taifa!Hahah,af sasa mim,nna madem weng bro,ungenifaham ungekuja toa ushahid hapa,nadhan hata hum jf wanafaham hilo,maana hua muwaz kuwaongelea madem zangu hum jf..hahah,..na hata sku1 siwez tafta dem hum mkuu,..mi nachkua madem instagram,na nna watom.ba kwel si utan
Mkuu,wenzetu Waganda washafka huko kitambo sana,kumiliki ndinga Kali kwa Uganda siyo jambo jipya tena!Mambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
Siyo KARNE HII MKUU, ITAKUA BAADAE SANAMambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
Mwambie engine imeyeyuka...hadi igande tenaHahahah,nafuta kaul mkuu,nipe ushaur,naepukaje kikombe hik mkuu
Hii ni mtu na mtu. Watu kibao wanaazimana magari tena ya maana wanasafiri nayo. Ni vitu vya kawaida tu kwa wengine.Mambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
DLV usimpe acha ikuzoe kwanza [emoji15]Ina thaman ya 18 mil,namba ni DLV *****
Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.Hiyo ndinga au mandinga ni aina gani?? Make kama ni Toyota hazina hadhi ya kuiywa ndinnga.. Toyota yoyote ile ni kijigari tu. hivyo kama umeombwa kijigari mpe tu akanyooshe mguu. Lakini kama ni NDINGA kweli usimpe hata kama ni ndugu yako.
Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.Hiyo ndinga au mandinga ni aina gani?? Make kama ni Toyota hazina hadhi ya kuiywa ndinnga.. Toyota yoyote ile ni kijigari tu. hivyo kama umeombwa kijigari mpe tu akanyooshe mguu. Lakini kama ni NDINGA kweli usimpe hata kama ni ndugu yako.
ndingaWakuu,niko katka mtihan mkubwa mno,...mi hua siwap madem zangu ndinga hata sku1,..na kwanza ni mara chache nmemskia dem anaomba ndinga kwangu,
Sasa nna huyu dem ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile,..leo ananambia anaomba ndinga,et yaan nakujikausha kote huko skuzote sjawai endesha gar yako,..kiukwel mim kuhusu swala la kumpa ndinga dem ni hua haiwezekan,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.
Enz hzo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakin imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.