"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

Mambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
 
Hahah,af sasa mim,nna madem weng bro,ungenifaham ungekuja toa ushahid hapa,nadhan hata hum jf wanafaham hilo,maana hua muwaz kuwaongelea madem zangu hum jf..hahah,..na hata sku1 siwez tafta dem hum mkuu,..mi nachkua madem instagram,na nna watom.ba kwel si utan
Mwanangu kumbe ww ni team fisi,ila uwe unakumbuka kukivisha kichwa cha chini kofia kabla hujaanza kugegeda tusijepoteza nguvu kazi ya taifa!
 
Mambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
Mkuu,wenzetu Waganda washafka huko kitambo sana,kumiliki ndinga Kali kwa Uganda siyo jambo jipya tena!
 
Mambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
Siyo KARNE HII MKUU, ITAKUA BAADAE SANA
 
Mambo yote hayo ya kuona gari ni kila kitu mpaka tunaweka hadith zake ni hao TRA na makadilio yao makubwa kwa vitu vya kawaida tuu...gari hazina hata chasis tunazianzishia Uzi naamini maisha yanabadilika ipo siku yatakua ya kawaida tuu nakumbuka miaka ya nyuma nilipokua chalii nilienda ofisini kwa mama waliniambia tunapitia Computer room tuvue Viatu ila leo computer zimekua za kawaida na hatuvui Viatu tena sehemu zilipo...pia itakuja kwenye Magari yakiwa ya kawaida mtaazimana na hata uliempa umsumbui sumbui na Simu kwa sababu ni kitu cha kawaida...tutafika tuu huko...
Hii ni mtu na mtu. Watu kibao wanaazimana magari tena ya maana wanasafiri nayo. Ni vitu vya kawaida tu kwa wengine.
 
Kwa dharau zako sikutaka hata nikushauri !!...Lakini nimegundua yaweza kuwa kuna mtu mwingine anashida kama yako!
[HASHTAG]#USHAURI[/HASHTAG]
Fungus tairi moja liweke uvunguni, hadi jumatatu ndipo ulifunge, halafu piga picha mrushie mwambie Fundi kaondoka na taili kuziba na simu yake haipatikan unamgonja arejeshe! Tena itapendeza zaidi ukimwambia kama anaweza pata tairi Kwa mda aje nalo afunge!..
 
Hiyo ndinga au mandinga ni aina gani?? Make kama ni Toyota hazina hadhi ya kuiywa ndinnga.. Toyota yoyote ile ni kijigari tu. hivyo kama umeombwa kijigari mpe tu akanyooshe mguu. Lakini kama ni NDINGA kweli usimpe hata kama ni ndugu yako.
Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
Hiyo ndinga au mandinga ni aina gani?? Make kama ni Toyota hazina hadhi ya kuiywa ndinnga.. Toyota yoyote ile ni kijigari tu. hivyo kama umeombwa kijigari mpe tu akanyooshe mguu. Lakini kama ni NDINGA kweli usimpe hata kama ni ndugu yako.
Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
 
Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno,...mi hua siwap madem zangu ndinga hata sku1,..na kwanza ni mara chache nmemskia dem anaomba ndinga kwangu,

Sasa nna huyu dem ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile,..leo ananambia anaomba ndinga,et yaan nakujikausha kote huko skuzote sjawai endesha gar yako,..kiukwel mim kuhusu swala la kumpa ndinga dem ni hua haiwezekan,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.

Enz hzo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakin imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1

Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
ndinga
 
Back
Top Bottom