"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

Kama Uchumi wako wa kifala usimpe ....hawakawiii kipigisha mzinga....we chakufanya mpe pesa ya kuzunguka na UBER siku nzima...kama kweli anashida ya usafir....otherwise uyo anataka akafanye showoff tu kwa rafk zake
 
Kwa dharau zako sikutaka hata nikushauri !!...Lakini nimegundua yaweza kuwa kuna mtu mwingine anashida kama yako!
[HASHTAG]#USHAURI[/HASHTAG]
Fungus tairi moja liweke uvunguni, hadi jumatatu ndipo ulifunge, halafu piga picha mrushie mwambie Fundi kaondoka na taili kuziba na simu yake haipatikan unamgonja arejeshe! Tena itapendeza zaidi ukimwambia kama anaweza pata tairi Kwa mda aje nalo afunge!..
Hahaha duuh!
 
The Man's happiest moment..is the man's weakest moment.. Epuka kuahidi kitu ukiwa na furaha sana hasa ukiwa juu ya kifua cha mchepuko.
Ukimpatu utashangaa anaenda nalo salon na kuanza kujifajilia kapewa na baby wake tena jirani yake aliyekwenye drier akiwa mkeo.
 
Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno,...mi hua siwap madem zangu ndinga hata sku1,..na kwanza ni mara chache nmemskia dem anaomba ndinga kwangu,

Sasa nna huyu dem ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile,..leo ananambia anaomba ndinga,et yaan nakujikausha kote huko skuzote sjawai endesha gar yako,..kiukwel mim kuhusu swala la kumpa ndinga dem ni hua haiwezekan,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.

Enz hzo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakin imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1

Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
Ujumbe umefika una mandinga kadhaa.
 
Mwombe umsindikize ktk hiyo mizunguko, hapo utaondoa utata na utaonyesha kujali zaidi.
Nikwel,ila,sidhan kama ntakua nmekata,kiu yake na nahis bif lazma liwepo,..maana anataka gar ili akaoshe kwa wenzie
 
.....hauko pekee yako Mkuu kuna wengine wako rough sana katika uendeshaji wao, hukawii kujutia uamuzi wa kumuazima mtu gari yako.
Naam,..na kwa watunzaj kama sis ambao had leo ndinga haina scratch,..atakua hajanitendea hak
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom