Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha duuh!Kwa dharau zako sikutaka hata nikushauri !!...Lakini nimegundua yaweza kuwa kuna mtu mwingine anashida kama yako!
[HASHTAG]#USHAURI[/HASHTAG]
Fungus tairi moja liweke uvunguni, hadi jumatatu ndipo ulifunge, halafu piga picha mrushie mwambie Fundi kaondoka na taili kuziba na simu yake haipatikan unamgonja arejeshe! Tena itapendeza zaidi ukimwambia kama anaweza pata tairi Kwa mda aje nalo afunge!..
Ha ha ha tena katupangia cha kusemakwa sababu umetuita wakuda utachangia mwenyewe
Ujumbe umefika una mandinga kadhaa.Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno,...mi hua siwap madem zangu ndinga hata sku1,..na kwanza ni mara chache nmemskia dem anaomba ndinga kwangu,
Sasa nna huyu dem ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile,..leo ananambia anaomba ndinga,et yaan nakujikausha kote huko skuzote sjawai endesha gar yako,..kiukwel mim kuhusu swala la kumpa ndinga dem ni hua haiwezekan,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.
Enz hzo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakin imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
DLV ni kitu cha mwaka jana tu Mwishoni.... Kitu kimetua juzi tu toka kwa mjapaniIna thaman ya 18 mil,namba ni DLV *****
harrier old modelHahaha mkuu,kwanza mi niwe na range ili iweje,au prado,..hii ni 18mil car,ya kawaida tuu,ila ..hata uwe wew skup *****