"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

Kama Uchumi wako wa kifala usimpe ....hawakawiii kipigisha mzinga....we chakufanya mpe pesa ya kuzunguka na UBER siku nzima...kama kweli anashida ya usafir....otherwise uyo anataka akafanye showoff tu kwa rafk zake
Kabsa mkuu,
 
The Man's happiest moment..is the man's weakest moment.. Epuka kuahidi kitu ukiwa na furaha sana hasa ukiwa juu ya kifua cha mchepuko.
Ukimpatu utashangaa anaenda nalo salon na kuanza kujifajilia kapewa na baby wake tena jirani yake aliyekwenye drier akiwa mkeo.
Hahahahaha,..kabsaa mkuu...
 
Ungefanya hivi mwambie muende wote yani wew ndo uwe unaendesha ndinga yako
 
Tunataka kujua aina,siyo thamani yake na namba,unatuwekea DLV kwani sisi trafic,na suala la thamani ni kwamba unaweza kununua ist kwa m 18 ukiamua
Hahhhahaa.pambana kwanza ,...aina itakusaidia nin..
 
Back
Top Bottom