MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
anayeniuguzaHivi urithi ulimwandika nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anayeniuguzaHivi urithi ulimwandika nani?
Basis maradhi mema.anayeniuguza
That's the principle.Mkuu acha tu,kuna jamaa yangu nilimwazima.. alikula buyu. Hadi Leo anasema atanilipa.. kifupi simpi tena yeyote yule mkuu,hata la mtu sitaki hata kuomba..
Ukiwa hivyo utaishi vizuri na bila stress,mshkaji anichukie tu freshThat's the principle.
Siazimi gari la mtu na Siazimishi gari langu kwa mtu
SIJUI KWANN NILIVOSOMA TU UZI ,Hahah,af sasa mim,nna madem weng bro,ungenifaham ungekuja toa ushahid hapa,nadhan hata hum jf wanafaham hilo,maana hua muwaz kuwaongelea madem zangu hum jf..hahah,..na hata sku1 siwez tafta dem hum mkuu,..mi nachkua madem instagram,na nna watom.ba kwel si utan
Rahisi tu, mwambie "SITAKI"Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno, mi hua siwapi mademu zangu ndinga hata siku moja na kwanza ni mara chache nimemskia demu anaomba ndinga kwangu,
Sasa nina huyu demu ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile ,leo ananambia anaomba ndinga,et yaani nakujikausha kote huko sikuzote sijawahi endesha gari yako,..kiukwel mimi kuhusu swala la kumpa ndinga demu ni hua haiwezekani,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.
Enzi hizo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakini imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
Haja tuita wote wakuda ila wapokwa sababu umetuita wakuda utachangia mwenyewe
Kwanini risirudi rakini???Huyo ametumwa na wezi. Ukimpa haritarudi. Atarudi na wind screen mkononi. Analalama "baby nimenynganywa gari, walinishikia bastora"
Kaliuza anakula pesa na mtaji juu. Halafu huwaga hawajali. Anapaki popote anaacha mlango wa dereva wazi na funguo zinacheza.Kwanini risirudi rakini???
Tumejua kuwa una gari[emoji57][emoji57]Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno, mi hua siwapi mademu zangu ndinga hata siku moja na kwanza ni mara chache nimemskia demu anaomba ndinga kwangu,
Sasa nina huyu demu ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile ,leo ananambia anaomba ndinga,et yaani nakujikausha kote huko sikuzote sijawahi endesha gari yako,..kiukwel mimi kuhusu swala la kumpa ndinga demu ni hua haiwezekani,bora nimpe dume mwenzangu, na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu, sio ushamba,ndo nilivyo, namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana.
Enzi hizo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakini imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki, sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]Jf kuna vituko,kesho utakuta hii ID inaomba ada ya shule
Haaahaaa [emoji16][emoji1787] umejuajeUkiona mwanamke anataka kuazima gari ujuwe hio itakuwa Vitz. Lakini Prado au Range hata kupanda hupanda kwa heshima.
Crown 14mItakuwa Toyota crown