BEEF: Vanessa Mdee na Shilole hali ni tete

BEEF: Vanessa Mdee na Shilole hali ni tete

Shishi kama kafanya hivyo kazingua..Vanessa ni moja ya wasanii wakike wasio na makuu kabisa..Ukimsikiliza kwenye mahojiano yake mengi utagundua hilo..Na mara nyingi uwa anatoa support kwa wanawake wenzake..Huyu Shishi sijui amekula maharage gani
elimu saa nyingine inasaidia, Shilole na Vanessa wametofautiana sana kwa upeo
 
Vee anasikika akimjibu Shilole kwenye video ya Instagram aliyoifuta muda mfupi baadaye. ambapo anamdiss msanii huyo kuhusu mziki anaoufanya, Igunga alikotokea na jinsi anavyo struggle katika kuongea kiingereza na kusema pia thamani zao hazilingani kabisa kwa hiyo hata asijilinganishe, hebu msikilize hapa





Kuna maelezo yanayokinzana kuhusiana na sababu iliyowafanya wawili hao waingie kwenye ugomvi.
 
Hawa mademu yanayojibizana sijui yaliibiana mabwana! Yapo kama vinyago hata demu wangu wa bush mkali
 
na yeye siku hizi anakunywa maji mengi kwani kuongea kiingereza ndo nini,
 
Ugomvi wa mademu ni kuwaachia wenyewe...ila ukiniambia nichague upande,mie niko na Shishi!
 
Wasani wanamuziki wakijistukia wanapotea ktk midia na mitandao ya kijamii wanajitengenezeaga zengwe kutafuta uwepo wao.
 
meeeen!!! Hizi cat fights huwa zipo interesting kuzitazama tu
 
Ajira zingine bana!?!? Mpaka ufanye ujinga ujinga ndo uingize?!?! Sasa Vanessa na huyo wapi na wapi jamani... Moja na elfu kabisa...
We unaangalia vitu gani vinavyowatofautisha? Hebu tafuta chanzo, usikute ni Dushe ndio inawagombanisha.. Na kwenye haya mambo yetu hakuna mtaalamu wala mjuzi wote ni dhaifu. Hii kitu hii kitu hii kitu hiiiii......!
 
hao wote tu kama makahaba wanagombania wateja.. ulimbukeni tu unawasumbua ndo maana wanaseek attention. anina zao
 
Issue hapa inaonyesha ni kingereza. Shishi hii lugha imemuathiri kisaikolojia sana kiasi cha kua hater.....!
 
Back
Top Bottom