Behaviourist Kasinde aka Kasie ana nini nawe?

Paulo serio kabadili ID name tena saivi anaitwaje
Maana aliitwa tupacified
 
macho hayana matege mwenzako yamenifika hapa
Mimi kidege wew kioonitakufuaataga

Umenitega
Nimerogeka
Wakijileta
Waambie upo na Daby [emoji445][emoji445][emoji445]


Mugacherereee
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

Wanna JF na viewers wote kama guest mmesikia na kusoma..? Niko na Daby.... msijilete kabisaaa.

Wajua umekamata madhaifu yangu mengi tuu, travel together.. .. motor racing, swimming, dancing.. ... nitake nini zaidi....
(In between brackets)....

Mwaah!!
 
Have it back mamy.
Haha... yaani never count maana utasahau mengine.. kama fkc.. jogging..singing....

Michael P.
 
Mmesomeka wakuu
 
Kama sijakusoma vibaya mwanzoni kabisa mwa huu uzi uli comment kuwa unamuonea wivu Daby...... ila wivu wa kitu gani hukuelezea.... tena mlikuwa wawili au hata hiyo quote uliyoandika mwenyewe nayo huhusiki?
Hahahaha Mimi sinaga wivu kabisaaa.
 
Have it back mamy.
Haha... yaani never count maana utasahau mengine.. kama fkc.. jogging..singing....

Michael P.

Ndo mahaba nipoteze kumbukumbu irejee baada ya mwaka.
Fcuk you right back...
 
Hata kama ulikuwa na stress lakini ukija huku JF unaweza kuvunjika mbavu asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…