Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ziko wapi, au mnadhani watanzania ni wajinga hawajui kama mmeliingiza hasara taifa kwa kuvunja mkataba wa ujenzi wa vichwa vya treni na mabehewa ujerumaniBehewa 14 za SGR zimeanza kuwasili nchini Tanzania kutoka nchini Korea View attachment 2424514
Jibuni hoja huko badala kujiteteatetea kisiasa