Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Kwenye hili la mabehewa naona wengi wanachanganya mambo, yawezekana kwa kutojua, au wanajua lkn wanapotosha makusudi. Wengi wanatumia picha ya set ya EMU train kubeza behewa zilizoletwa bila kujua kwamba hivyo ni vitu viwili tofauti
Ikumbukwe kwamba TRC walitutangazia wameagiza:
1. Vichwa vya treni na behewa
2. Set kadhaa za EMU train
Hivi ni vitu viwili tofauti, hiyo namba moja ipo kwenye muundo wa treni za kawaida(ordinary) ambapo kichwa cha train ( Locomotive) ndicho self propelled unit na behewa ni non propelled unit, kichwa kinafunga mabehewa na kuyavuta, hizi kikawaida hutumika kwa safari ndefu
Namba mbili ambayo ndiyo picha inayotumiwa na wengi kukejeri ni set ya EMU trains ambazo july 2021 TRC waliingia mkataba na kampuni ya Hyundai Rotem ya korea kusini, hizi EMU ni tofauti na hizo hapo namba moja, kwenye EMU kichwa na mabewa vyote ni self propelled unit, maana yake ni kwamba kichwa na behewa vyote vina motor za kuviendesha, treni hizi ni za mwendo kasi na zinatumika kwa safari za masafa mafupi. Kifupi ni kwamba mnakejeri kwa kutumia picha za vitu viwili tofauti.
Tuwe wavumilivu, mambo mazuri yanakuja, hata ikiwa kwa kuchelewa
Mkuu mimi nimeona reli ya loas to china inatembea kwa speed ya 160km/h lakini wanatumia EMU, kwa UMBALI wa 1200km
 
Hapa Godfather wako Meko ndiyo alicheza uhuni alitoa tenda kwa kampuni ya Kikorea na wahuni wenzake wakala 10%

View attachment 2425073

Meko alitoa tenda kwa kampuni ya Kikorea hii Hapa ndiyo imetuletea haya Mabati. Unayoyaona zilitakiwa kuja 36 naona wametuletea 14 tu.


Baada ya serikali ya Samia kutokuvutiwa na hizi chuma Chakavu ikatangaza tenda uuindaji wa mabehewa 1430 ambayo kampuni ya China wanaitwa CRRC ndiyo washindi wa hii tenda. yView attachment 2425081

Mabehewa yake yataanza kuingia kuanzia September 2023.
MZEE BABA NDO HAYOHAYO MABEHEWA YA MAMA
ANGALIA VIDEO YA WAZILI MKUU AKIWA SOUTH KOREA WALISEMA MENGINE WASHAENDA NDO HAYO YAMEFIKA NA WANAENDELEA KUTENGENEZA SIO YA JPM NI YA MAMA MKUU NA YANAYO KUJA NDO HAYOHAYO MZEE BABA

USICHANGANYE MAFAHILI MKUU.
 
Hapa Godfather wako Meko ndiyo alicheza uhuni alitoa tenda kwa kampuni ya Kikorea na wahuni wenzake wakala 10%

View attachment 2425073

Meko alitoa tenda kwa kampuni ya Kikorea hii Hapa ndiyo imetuletea haya Mabati. Unayoyaona zilitakiwa kuja 36 naona wametuletea 14 tu.


Baada ya serikali ya Samia kutokuvutiwa na hizi chuma Chakavu ikatangaza tenda uuindaji wa mabehewa 1430 ambayo kampuni ya China wanaitwa CRRC ndiyo washindi wa hii tenda. yView attachment 2425081

Mabehewa yake yataanza kuingia kuanzia September 2023.
AFU MKUU MABEHEWA 1430 SIO YA ABILIA MKUU, HAYO NI YA KUBEBA MAKONTENA MZEE BABA KUWA MPOLE, HAYA YANAYOFIKA NI YA MAMA MKUU. NA YANAKUJA KAMA HAYO MENGI TUU KUWA MPOLE MZEE BABA.
 
SGR imeshakufa tayari kamwe akina kikwete hawatakubali treni ifanye kazi alafu malori Yao yaendelee kufa kifo cha Mendez Hilo haliwezekani...

Ndiyo maana imeanzishwa barabara ya haraka Hadi morogoro ili biashara zao ziendelee kama kawaida, watanzania wasitegemee sgr kufanya kazi Kwa ufanisi
Na wenye MABASI VIPI MKUU ABOOD NAYE KAONGEZA MENGINE MZEE BABA,
HII RELI YAWEZA ISHIA DAR TO TABORA MPAKA MWANZA BASI.
 

Attachments

  • Capture+_2022-12-06-07-10-27.png
    Capture+_2022-12-06-07-10-27.png
    127.8 KB · Views: 4
Kwenye hili la mabehewa naona wengi wanachanganya mambo, yawezekana kwa kutojua, au wanajua lkn wanapotosha makusudi. Wengi wanatumia picha ya set ya EMU train kubeza behewa zilizoletwa bila kujua kwamba hivyo ni vitu viwili tofauti
Ikumbukwe kwamba TRC walitutangazia wameagiza:
1. Vichwa vya treni na behewa
2. Set kadhaa za EMU train
Hivi ni vitu viwili tofauti, hiyo namba moja ipo kwenye muundo wa treni za kawaida(ordinary) ambapo kichwa cha train ( Locomotive) ndicho self propelled unit na behewa ni non propelled unit, kichwa kinafunga mabehewa na kuyavuta, hizi kikawaida hutumika kwa safari ndefu
Namba mbili ambayo ndiyo picha inayotumiwa na wengi kukejeri ni set ya EMU trains ambazo july 2021 TRC waliingia mkataba na kampuni ya Hyundai Rotem ya korea kusini, hizi EMU ni tofauti na hizo hapo namba moja, kwenye EMU kichwa na mabewa vyote ni self propelled unit, maana yake ni kwamba kichwa na behewa vyote vina motor za kuviendesha, treni hizi ni za mwendo kasi na zinatumika kwa safari za masafa mafupi. Kifupi ni kwamba mnakejeri kwa kutumia picha za vitu viwili tofauti.
Tuwe wavumilivu, mambo mazuri yanakuja, hata ikiwa kwa kuchelewa
Bei ya hivyo vichwa na treni,ilinganishe na bei ya sokoni, uone tofauti ilipo kwenye muonekano wa kitu kipya na kitu mtumba (mbingu na ardhi)
 
Kipindi cha mwenda zake zito alikuwa mstari wa mbele sana kwenye kukosoa manunuzi ya ndege hasa ili ya boing 787 dreamlina na kusema kuwa ni used na toleo lililokuwa na hitilafu , leo serikali imenunua mabehewa used kwa gharam zaidi ya mara kumi ya behewa jipya lakini sioni kelele kama zile za kipindi kile cha mwenda zake.
 
Kipindi cha mwenda zake zito alikuwa mstari wa mbele sana kwenye kukosoa manunuzi ya ndege hasa ili ya 787 dreamlina na kusema kuwa ni used na toleo lililokuwa na hitilafu , leo serikali imenunua mabehewa usde kwa kubwa lakini sioni kelele kama zile za kipindi kile cha mwenda zake.
Mabehewa Siyo Ndege
 
Back
Top Bottom