Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Itakuwa wameegiza kupitia kikuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata south africa tu hapo wanatengeneza mabehewa mazuri tu kwenye treni zao.Cheki wenzetu Egypt..mabehewa yanayoletwaView attachment 2424874
Huko wanapata magawo wa 10%kuna mabasi mazuri kabisa yanaundwa bodi hapa bongo, wanauza hadi kenya, kwamba kuunda tu behewa hizi ambazo ni sawa tu na kuunda matrailer ya malori n.k au mabodi ya mabasi, ndio tuagize toka ulaya yaliyochakaa?
Itakuwa wameegiza kupitia kikuu
kweli kabisa lakini siyo safari kwa kutumia mabehewa ya mifugo yaliyoboreshwa kama hiliBora safari Bwashee!
yaani ni kama yale ya kusafirishia ng'ombe, yameboreshwa tuMbona wameleta mabehewa mabaya kama ya miaka 49 huko!?
Kuna tofauti gani na mifugo?kweli kabisa lakini siyo safari kwa kutumia mabehewa ya mifugo yaliyoboreshwa kama hili
Mbna iko poa tu babu kuliko hata picha namba 1Mwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2424970View attachment 2424971
Hizi ni sampo tu, zenyewe bado zinachongwa kiwandani.Mwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2424970View attachment 2424971
Mbuzi mee kwenye kiroba cha guniaMwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2424970View attachment 2424971
Patience kills...!Be patient !!!!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aah wapi! Double M alikwenda jikoni na akaonja mchuzi au mmesahau.Mbuzi mee kwenye kiroba cha gunia