Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Tumesha kalia
JamiiForums324928181.gif
 
Hii nakumbuka hata kenya waliahidiwa treni nzuri mombasa nairobi route, Yakaja maududu unajua nini kilitokea, Abiria hawa opt kupanda treni badala yake imekua ni hasara mno ukilinganisha ilikopwa pesa nyingi kwa wachina,
Yaani kifupi mradi ukawa haulipi. same story naiona hapa.
cause dar dodoma si mbali kihiivyo ukamhamasisha mtu apande train aache kutumia luxury buses you need to compete with buses ukilia mikwelekweche itakua hasara tu.
 
Mara nyingi tukiandika humu kuhusu mambo haya huwa tunaitwa Pinga pinga , Lakini ni lazima ifahamike kwamba sisi kama binadamu wenye akili timamu , tuliosafiri hapa na pale duniani , ambao pia tu wasomi wenye macho yanayoona , hatuwezi kuacha kuhoji mambo yenye kutiliwa shaka .

Ni kweli kwamba Mabehewa yamefika na yameanza kupokelewa Bandarini , lakini bila kumung'unya maneno , Mabehewa haya ni DUNI , wala hayana tofauti sana na Mabehewa ya TRC yaliyotelekezwa pale Shauri moyo , Sasa ile Mikwara kwamba zinaletwa Treni za Kisasa wadanganyaji walilenga nini ?

Mbona watanzania hawajawahi kukataa chochote wanacholetewa , kwanini msiwaambie ukweli tu kwamba mabehewa yatakayokuja ni ya kawaida badala ya kuwapiga fix ?

Ni Dharau ya kiwango cha juu sana kudhani kwamba Watanzania ni Wajinga kiasi cha kudanganywa kibwege namna hiyo , Yaani kwamba sisi hatuoni hata kwenye sinema hizo treni za kisasa ?

Tambueni kwamba KILA UBAYA UTALIPWA
 
Mara nyingi tukiandika humu kuhusu mambo haya huwa tunaitwa Pinga pinga , Lakini ni lazima ifahamike kwamba sisi kama binadamu wenye akili timamu , tuliosafiri hapa na pale duniani , ambao pia tu wasomi wenye macho yanayoona , hatuwezi kuacha kuhoji mambo yenye kutiliwa shaka .

Ni kweli kwamba Mabehewa yamefika na yameanza kupokelewa Bandarini , lakini bila kumung'unya maneno , Mabehewa haya ni DUNI , wala hayana tofauti sana na Mabehewa ya TRC yaliyotelekezwa pale Shauri moyo , Sasa ile Mikwara kwamba zinaletwa Treni za Kisasa wadanganyaji walilenga nini ?

Mbona watanzania hawajawahi kukataa chochote wanacholetewa , kwanini msiwaambie ukweli tu kwamba mabehewa yatakayokuja ni ya kawaida badala ya kuwapiga fix ?

Ni Dharau ya kiwango cha juu sana kudhani kwamba Watanzania ni Wajinga kiasi cha kudanganywa kibwege namna hiyo , Yaani kwamba sisi hatuoni hata kwenye sinema hizo treni za kisasa ?

Tambueni kwamba KILA UBAYA UTALIPWA
hivi wewe ushayaona au roho mbaya tu tu inakusumbua
 
Yaani kazi yako kubeba spika na bendera za Chadema kwenda mikutanoni, tayari umejua mabehewa hayana ubora.

Shule yenyewe ulikuwa mtoro, madaftari unafungia maandazi, na kazi kubwa ilikuwa kujificha makorongoni au vichakani ukivuta
 
Mara nyingi tukiandika humu kuhusu mambo haya huwa tunaitwa Pinga pinga , Lakini ni lazima ifahamike kwamba sisi kama binadamu wenye akili timamu , tuliosafiri hapa na pale duniani , ambao pia tu wasomi wenye macho yanayoona , hatuwezi kuacha kuhoji mambo yenye kutiliwa shaka .

Ni kweli kwamba Mabehewa yamefika na yameanza kupokelewa Bandarini , lakini bila kumung'unya maneno , Mabehewa haya ni DUNI , wala hayana tofauti sana na Mabehewa ya TRC yaliyotelekezwa pale Shauri moyo , Sasa ile Mikwara kwamba zinaletwa Treni za Kisasa wadanganyaji walilenga nini ?

Mbona watanzania hawajawahi kukataa chochote wanacholetewa , kwanini msiwaambie ukweli tu kwamba mabehewa yatakayokuja ni ya kawaida badala ya kuwapiga fix ?

Ni Dharau ya kiwango cha juu sana kudhani kwamba Watanzania ni Wajinga kiasi cha kudanganywa kibwege namna hiyo , Yaani kwamba sisi hatuoni hata kwenye sinema hizo treni za kisasa ?

Tambueni kwamba KILA UBAYA UTALIPWA
Mabehewa ya kisasa muonekano wake kwa nje bila kuingia ndani ukoje? Yana tofauti gani na haya ya kwetu? Tukumbuke reli yetu siyo High Speed Rail (HSR), rolling stocks za kwenye HRS zina tofauti kidogo kimuundo ili kuwezesha spidi kubwa
 
Back
Top Bottom