Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
zinakujaPicha za hayo mabehewa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zinakujaPicha za hayo mabehewa mkuu
Wameleta mabehewa mtumba, Walamba asali. Magu asisingiwe.Mara nyingi tukiandika humu kuhusu mambo haya huwa tunaitwa Pinga pinga , Lakini ni lazima ifahamike kwamba sisi kama binadamu wenye akili timamu , tuliosafiri hapa na pale duniani , ambao pia tu wasomi wenye macho yanayoona , hatuwezi kuacha kuhoji mambo yenye kutiliwa shaka .
Ni kweli kwamba Mabehewa yamefika na yameanza kupokelewa Bandarini , lakini bila kumung'unya maneno , Mabehewa haya ni DUNI , wala hayana tofauti sana na Mabehewa ya TRC yaliyotelekezwa pale Shauri moyo , Sasa ile Mikwara kwamba zinaletwa Treni za Kisasa wadanganyaji walilenga nini ?
Mbona watanzania hawajawahi kukataa chochote wanacholetewa , kwanini msiwaambie ukweli tu kwamba mabehewa yatakayokuja ni ya kawaida badala ya kuwapiga fix ?
Ni Dharau ya kiwango cha juu sana kudhani kwamba Watanzania ni Wajinga kiasi cha kudanganywa kibwege namna hiyo , Yaani kwamba sisi hatuoni hata kwenye sinema hizo treni za kisasa ?
Tambueni kwamba KILA UBAYA UTALIPWA
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ndio yenyewe
Kabati?
Mtanikumbuka
Unaweza kukuta dalali ni Lisu
R.i.p magufuli.kukakitu kimevurugika
hivi wewe ushayaona au roho mbaya tu tu inakusumbua
swahilitimes.co.tz
Yaani kazi yako kubeba spika na bendera za Chadema kwenda mikutanoni, tayari umejua mabehewa hayana ubora.
Shule yenyewe ulikuwa mtoro, madaftari unafungia maandazi, na kazi kubwa ilikuwa kujificha makorongoni au vichakani ukivuta
Ushavuta tayari KakaMtanikumbuka
Unaweza kukuta dalali ni Lisu
Ungetusaidia sasa sisi tusiojua kwa kuruonyesha picha ya kilichopokelewa na hizo za ulaya ulizo ziona.Ni kweli kwamba Mabehewa yamefika na yameanza kupokelewa Bandarini , lakini bila kumung'unya maneno , Mabehewa haya ni DUNI , wala hayana tofauti sana na Mabehewa ya TRC yaliyotelekezwa pale Shauri moyo , Sasa ile Mikwara kwamba zinaletwa Treni za Kisasa wadanganyaji walilenga nini ?