Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
How Much ?
Mimi kama mlipa Kodi siwezi kusema ni baya au zuri bila kujua ni ngapi limelipiwa...
Hivi na kile Chuo cha Reli na Veta hawawezi hata kufanya Assembling ya haya mambo ?.., ili haya yakiharibika wanakwenda wanayafanyia refurbishment...,
Nadhani na hili wakalitazame
Mimi kama mlipa Kodi siwezi kusema ni baya au zuri bila kujua ni ngapi limelipiwa...
Hivi na kile Chuo cha Reli na Veta hawawezi hata kufanya Assembling ya haya mambo ?.., ili haya yakiharibika wanakwenda wanayafanyia refurbishment...,
Nadhani na hili wakalitazame