konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,696
- 8,763
Wewe jamaa ni mpumbavu.Mtanikumbuka
Unaweza kukuta dalali ni Lisu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jamaa ni mpumbavu.Mtanikumbuka
Unaweza kukuta dalali ni Lisu
Haya mabehewa yanatumika sana kwenye sinema za kihindiYaani kazi yako kubeba spika na bendera za Chadema kwenda mikutanoni, tayari umejua mabehewa hayana ubora.
Shule yenyewe ulikuwa mtoro, madaftari unafungia maandazi, na kazi kubwa ilikuwa kujificha makorongoni au vichakani ukivuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa wameegiza kupitia kikuu
Wapi nimetaja Chadema Bwashee!Joe akili zako zinaenda mbele bila kugeuka chadema wameingiaje hapo
Uliwahi kumsikia Bashiru wa CCM akipigania Katiba mpya ?Hapa wakulaumiwa ni chadema haiwezekani wakae kimya kiasi hicho hadi Bashiru aongee ndio atetee wananchi
Wapi nimetaja Chadema Bwashee!
Uliwahi kumsikia Bashiru wa CCM akipigania Katiba mpya ?
bila kumponda marehem hujisikii sawa , kwann usiwalaumu pia na hawaSi bwana yule yule Samjo Samjo sana wajina wake "Shujaa" Majaliwa alikwenda kuyakagua na akaridhika kabisa kwamba yapo byeeeeeeee???
Pole sana mleta mada, inaoneka hujui kutofautisha kati ya behewa(wagon) na kichwa cha treni(Locomotive). Hizo picha ulizoweka ni vitu viwili tofautiMwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2424970View attachment 2424971
Mwenzako anaangalia rangi labda. Shida kubwa ya kwetu tunadhani kuwa mwanaharakati nikupinga kila kitu kwanini tusisubiri kutumia halafu tutoe hukumu zetu tunataka mabehewa kama ya ulaya lakini nauli za kibongo. Ndio maana hata kwenye ndege kuna Air Tanzania, Emirates, Precious, Qatar sijui Ethiopia zote ndege lakini hazifanani na nauli hazifanani.Yaani kazi yako kubeba spika na bendera za Chadema kwenda mikutanoni, tayari umejua mabehewa hayana ubora.
Shule yenyewe ulikuwa mtoro, madaftari unafungia maandazi, na kazi kubwa ilikuwa kujificha makorongoni au vichakani ukivuta
Mkuu Wali wa Kushiba unaonekana kwenye sahani tu .Mabehewa ya kisasa muonekano wake kwa nje bila kuingia ndani ukoje? Yana tofauti gani na haya ya kwetu? Tukumbuke reli yetu siyo High Speed Rail (HSR), rolling stocks za kwenye HRS zina tofauti kidogo kimuundo ili kuwezesha spidi kubwa
Wabongo wanataka mabehewa kama yale ya bullet train, nadhani hizi behewa zilizokuja ndo zinafaa kwa mazingira yetu, hizo za luxury tusubiri tustaarabike kwanza😂,Haya mabehewa yanatumika sana kwenye sinema za kihindi
Jibu swali wewe kapuku , wakulima ndio Katiba ?Amepigania wakulima
Wenzako walisha google wakatoa na picha ya zile bullet train za Japan sasa wewe unataka upande train ushuke Kibaha sijui Chalinze halafu upande train kama ya japan nauli zenyewe za kuunga unga tu mkisimama tu wauza mayai wako madirishani.Mabehewa ya kisasa muonekano wake kwa nje bila kuingia ndani ukoje? Yana tofauti gani na haya ya kwetu? Tukumbuke reli yetu siyo High Speed Rail (HSR), rolling stocks za kwenye HRS zina tofauti kidogo kimuundo ili kuwezesha spidi kubwa
Sasa ubaya wake nini au rangi hukupenda