Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Weeeh shindwa😂😂Mabehewa yamekaa kisukuma sana. Congratulation kadogosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeh shindwa😂😂Mabehewa yamekaa kisukuma sana. Congratulation kadogosa
Itakuwa wameegiza kupitia kikuu
Hahhah kikuuItakuwa wameegiza kupitia kikuu
Wale jamaa package zao nzuri ila bidhaa zao ni kama maji ya lyandembelaItakuwa wameegiza kupitia kikuu
Kaazi kweli kweliMwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2424970View attachment 2424971
Hapana.Mbona watanzania hawajawahi kukataa chochote wanacholetewa , kwanini msiwaambie ukweli tu kwamba mabehewa yatakayokuja ni ya kawaida badala ya kuwapiga fix ?
Marehemu yupi aliyepondwa mzee wa kujihisi?bila kumponda marehem hujisikii sawa , kwann usiwalaumu pia na hawa
Awashe Moto wakati oda ilitolewa na mwendazakeTuwe na subra yaungwe huenda yatafanana na picha namba 1.
Ikitofautiana nitamsihi Bashiru awashe moto part 2🤣
Acha upotoshaji, oda ya mabehewa alishatoa mwendazakeIngawa haujaweka picha kuthibitisha unachokisema, ila chini ya utawala wa Sa100 kwa namna alivyozungukwa na wapigaji...lolote linawezekana!.
Hiyo oda ilishatolewa na mwendazake muda mrefu tu. Usimsingizie Samiahonestly nilikuwa simkubali jiwe 100%. ila sasa nimeanza kuona umuhimu wa ile kauli yake ya "mtanikumbuka".
pamoja na ukatili wake wote, hili la treni iliyochakaa, mgao wa umeme nk, asingekubali vitokee chini ya utawala wake. angetumbua watu kama hana akili nzuri.
ila kwa huyu mama, itakuwa ni business as usual, litapita kimyakimya. akiona mnampigia sana kelele mitandaoni, atajitungia trip ya wiki kadhaa europe.
Hapa wakulaumiwa ni chadema haiwezekani wakae kimya kiasi hicho hadi Bashiru aongee ndio atetee wananchi
Umeona majina ya hizo kampuni ni tofauti, pia nchi ni tofauti. Haya mabehewa ya Sasa alihusika mwendazakeHuu mkataba mmesaini wenyewe kabisa na wala bashiru hakuwa kiongozi popote zaidi ya kuwa mbunge.
Kwa hiyo muacheni.
View attachment 2425155
TULICHOAMBIWA
View attachment 2425161
KILICHOLETWA.
View attachment 2425162
Machadema yalaaniwe kwakweli hawa ndio wanasababisha tunaletewa mabehewa ya kwenye sinema za kihindi
Mbona unakazana sana kama vile umelipwa .Kwa taarifa yako yeye ndiye alivuruga hayo yote unayosema kila kitu.
Amepigania wakulima
Wewe uliyoyaona yakoj?hivi wewe ushayaona au roho mbaya tu tu inakusumbua
Machadema yalaaniwe kwakweli hawa ndio wanasababisha tunaletewa mabehewa ya kwenye sinema za kihindi
Mwenzako anaangalia rangi labda. Shida kubwa ya kwetu tunadhani kuwa mwanaharakati nikupinga kila kitu kwanini tusisubiri kutumia halafu tutoe hukumu zetu tunataka mabehewa kama ya ulaya lakini nauli za kibongo. Ndio maana hata kwenye ndege kuna Air Tanzania, Emirates, Precious, Qatar sijui Ethiopia zote ndege lakini hazifanani na nauli hazifanani.