econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Aisee kumbe ndio haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nikasema.. narudia tena.. msimhusishe Bashiru kwenye hili.Umeona majina ya hizo kampuni ni tofauti, pia nchi ni tofauti. Haya mabehewa ya Sasa alihusika mwendazake
Pascal Mayalla uzi kama hizi huwa yeye ashiriki kujibu hoja huwa ana like tuu nakupotea...Mwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2424970View attachment 2424971
Kama chadema wamepewa tenda tu ya mabehewa wameleta hizi tetenus je wakipewa nchi wataweza kweli hawa?
View attachment 2425070
Naam, ndio hayo.Aisee kumbe ndio haya.
Mbona mabehewa yako poa sana tu kwa ndani full kiyoyozi na facilities zote muhimu.Hapana.
Kama "mabehewa yanayokuja" muonekano wake ni sawa na hiyo picha iliyowekwa hapo, (picha #2), hayo yatakuwa siyo "mabehewa ya kawaida" hata kidogo!
Hata yale ya 'mete gauge' mbona yatakuwa ni bora zaidi kwa mwonekano wake kuliko haya!
Bado siamini kwamba hiyo picha ndiyo mabehewa yatakayotumika kwenye SGR.
Unawazimu wewe huwajui vizuri wasukuma walivyo na sifa, JPM hapo angefanya kufuru.Awashe Moto wakati oda ilitolewa na mwendazake
Kwa hiyo watanzania hawana tofauti na mifugoKuna tofauti gani na mifugo?
Kwani hayo yanayoonekana hapo hayaonekani?hivi wewe ushayaona au roho mbaya tu tu inakusumbua
Hii ni ya mwendokasiKwahiyo mlitakaje ? Endeleeni kutoza kodi ipo siku tutafika huku
View attachment 2425207
View attachment 2425209
A.k.a Bullet Train- ukisikia train ya kisasa ndio hii sasaHii ni ya mwendokasi
Wsngeweka brand na model identificstion number.Haya ni mabehewa kweli ya train ya kisasa au ni nini?
Wenzenu walitumua mabehewa kama haya karne 18 huko.