takataka kabisa. Si majaliwa alikwenda kuyaangalia kama yana value for money? Hiki ndicho ali approve?Haya ni mabehewa kweli ya train ya kisasa au ni nini?
Wenzenu walitumua mabehewa kama haya karne 18 huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
takataka kabisa. Si majaliwa alikwenda kuyaangalia kama yana value for money? Hiki ndicho ali approve?Haya ni mabehewa kweli ya train ya kisasa au ni nini?
Wenzenu walitumua mabehewa kama haya karne 18 huko.
wamekarabati vyuma chakavu wakaletaNdugu washika dau wa hapa , ikumbukwe wakati wa kuanza mradi wa ujenzi wa njia za tren za kisasa yaani tren za umeme ,tuliahidiwa vyombo vya kisasa vinavyo endana na wakati uliopo na kutuonyesha picha kabisa jinsi zitakavyo kuwa .
Lakini leo zilizo letwa ni mabeheha matoleo ya kizamani kabisa ,hii ina maana gani kama si utani na dharau kwa watanzania??
Kwa hiyo zile kamati za mapokezi zitaenda kuyapokea na kutoa sifa kede kedeHaya ni mabehewa kweli ya train ya kisasa au ni nini?
Wenzenu walitumua mabehewa kama haya karne 18 huko.
View attachment 2424543mbona kama old wine in a new bottle. Hayo mabehewa si kama haya ya deluxe tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila wabongo tuna nongwa. Hapo kuna muungwana kasema hata sido wanaweza tengeneza hayo
Baada ya kutest wala nchi wakaona lilelile la kutest ndiyo linafaa.Kazi iendelee 🤣🤣Si walisema lile lilikua la kutest mbona ndio yanayoletwa?au mimi ndio sijaelewa picha
We jamaa utakuwa huwezi kutofautisha kati ya Mama yako na Baba yako. We huoni utofauti hapo? Afu utambue mabehewa karibu yote yanafanana, utofauti ni kichwa (LOCOMOTIVE).
Kwamba b4 assembling na after assembling.Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa..
Mabehewa ya trains za sgr yameanza kuwasili Nchini.
Tuliambiwa mwezi January sgr ya Morogoro inaanza kufanya kazi.
Hongera TRC na hongera Rasi Samia kwa kutekeleza kwa vitendo..Kazi iendelee👇
View attachment 2424723
Mkuu Egypt sio wenzetu ni watu weupe wale uwezi linganisha na muafrica mweusi tena mbongo.Cheki wenzetu Egypt..mabehewa yanayoletwaView attachment 2424874
Yaani unajidharau kiasi hicho?Mkuu Egypt sio wenzetu ni watu weupe wale uwezi linganisha na muafrica mweusi tena mbongo.